cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
unajua hata kama unamchukia, mchukie tu.
Tatizo lake amekushika pabaya , na kwa sasa maumivu yake unayasikia. Mtoto wa binadamu mwenzako kakukosea nini, please if u hate dr. Slaa, leave him alone sio kumtusi rais mtarajiwa, pia usimtusi jk kwani ni rais wetu, naye pia ni rais mtarajiwa. Jiheshimu bwana na heshimu utu wa watu ebo!!!!!
hao raia kikundi chao kinaitwa khanga moja usiombe kuwaona wanavyokata mauno (nyonga) unaweza kukimbiakweli kila mtu atakula kwa jasho.
very innocent!!! waiting for your votes!!!
sasa hii si nepi kabisa hii!
huu uchuro maana najua mtu mzima anayevaa nepi ni yule anayeendesha kwa kuadhirika na kale kaugonjwa ketu, sasa mtu timamu kabisa ukajivalishe KANYELAMUMO huku ni kulinajisi vazi la kanga lenye heshima zake!
duh mkuu asante kwa picha nimekaona k-kuku kangu ka kienyeji michigan hapo kulia kalikua kataaaamu:smile-big:
Kama wewe ni mtu wa dini na unaipenda na kuiheshimu dini yako,sema ukweli Daktari Slaa hajachukuwa mke wa Amanuel Chadiel Mahimbo mkazi wa Kimara, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam?
Tatizo lenu ni kupenda kupita kiasi hata chongo unaona kengeza!Penye ukweli lazima watu wauseme japokuwa kwako na kwa wenzio unawauma(mkiona mnakeleka jitoeni humu jamvini na mkimbilie kule ze ujinga ujinga!)
Kwa taarifa yako na wenzio mwaka mnao,wacha kwanza jamaa warudi ikuru halafu mtawatambua kama vile alivyowatambua Ngawaiya!
raha ya Khanga iwe imeloa