Tetesi: Kheri James atashauri Shaka kusimamishwa ili kupisha uchunguzi

Tetesi: Kheri James atashauri Shaka kusimamishwa ili kupisha uchunguzi

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Hizi ni taarifa za uhakika nilizopenyezewa na mdau wangu wa Katibu kutoka Ndani ya chama. Nitaendelea kushushia nondo kadiri zitakavyokuwa zikinifikia.

Mtakumbuka kuwa Mara baada ya Kheri James kushika kijiti cha kuiongoza uvccm, aliunda kamati ya kuhakiki Mali zote zinazomilikiwa na uvccm!
Tayari kamati hiyo ilishaanza kazi kitambo na kwa taarifa za awali imebainika kuwa Shaka akishirkiana na aliyekuwa mwenyekiti wa Uvccm ambaye siku za hivi karibuni alikamatwa kwa tuhuma za rushwa, walishirikiana katika kuhujumu baadhi ya mali zanazomilkiwa na taasisi hiyo ya vijana!
Katika kikao cha dharura, kilichofanyika siku za hivi karibuni pamoja na mambo mengine ilijadiliwa kuwa kama itabainika pasi na shaka kuwa Shaka na wenzake walihusika katika hili, mwenyeketi wa sasa alishauri wahusika wasimamishwe uongozi akiwemo bwana Shaka

Stay tuned! Taarifa zingine zitakujia katika kikao kingine kitakachofanyika wakati wowote kuanzia sasa
 
Kwahiyo wewe katika wote shaka ndo umemwona, na akiwa hana kosa utamsafisha? Acha umbea ngoja kamati imalize kazi itoe ripot
 
Mali nyingi za CCM zinatakiwa zirudi serikalini ili zitumike kwa faida yetu wote.
Zilipatikana wakati wa chama kimoja tuliochangishwa ni wananchi wote.
Hili muhimu sana. Hasa viwanja vta mpira, majengo na maeneo ya wazi
 
Kwahiyo wewe katika wote shaka ndo umemwona, na akiwa hana kosa utamsafisha? Acha umbea ngoja kamati imalize kazi itoe ripot
Huyu ndiyekaimu Katibu mkuu wa uvccm, au hujui
 
Huyu ndiyekaimu Katibu mkuu wa uvccm, au hujui
Hill nalijua, ila si vizuri kumsema MTU bila ushahidi, subiri report itoe majibu, kimsingi shaka ni kati ya watu waliofanya kazi sana uvccm, kama kunatatizo tusubiri report
 
Hizi ni taarifa za uhakika nilizopenyezewa na mdau wangu wa Katibu kutoka Ndani ya chama. Nitaendelea kushushia nondo kadiri zitakavyokuwa zikinifikia.

Mtakumbuka kuwa Mara baada ya Kheri James kushika kijiti cha kuiongoza uvccm, aliunda kamati ya kuhakiki Mali zote zinazomilikiwa na uvccm!
Tayari kamati hiyo ilishaanza kazi kitambo na kwa taarifa za awali imebainika kuwa Shaka akishirkiana na aliyekuwa mwenyekiti wa Uvccm ambaye siku za hivi karibuni alikamatwa kwa tuhuma za rushwa, walishirikiana katika kuhujumu baadhi ya mali zanazomilkiwa na taasisi hiyo ya vijana!
Katika kikao cha dharura, kilichofanyika siku za hivi karibuni pamoja na mambo mengine ilijadiliwa kuwa kama itabainika pasi na shaka kuwa Shaka na wenzake walihusika katika hili, mwenyeketi wa sasa alishauri wahusika wasimamishwe uongozi akiwemo bwana Shaka

Stay tuned! Taarifa zingine zitakujia katika kikao kingine kitakachofanyika wakati wowote kuanzia sasa
Wote heri na shaka ni timu mchicha mwiba lazma wabebane tu,hii awamu ya media utendaji hakuna zaidi ya uwongo uwongo na blabla tu
 
Back
Top Bottom