Kheri na baraka za funga ya swaumu ya mwezi wa ramadhan 2021

Akthoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2007
Posts
1,001
Reaction score
1,021
Kwa mujibu wa Mamlaka ya serikali ya Mfalme wa Saudi Arabia waislamu wa Saudi Arabia na nchi zinazofuata mwezi wa kimataifa wataanza kufunga swaumu kuanzia kesho tarehe 13/04/2021.

Kwa mujibu wa mufti wa Tanzania, waislamu wataanza kufunga tarehe 14/04/2021.

Nachukua fursa hii kuwatakia mfungo mwema wa ramadhan, kheri na baraka ziwafikie wana JF popote walipo.
 
Na tunakumbusha daku iliwe kwa kiwango kidogo tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…