Khitma ya Prof Haroub Othman kesho inshaalah

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
855
Kwa manoswali mjini nadhani msikiti wa Ngazija mnaujua na nadhani ndio wepesi wenu huo kule Maamur ni upanga si mbali sana na Diamond Jubilee au tuseme si mbali sana na tume ya mawasiliano


 
Hatuna njia, ila kushukuru kudura za Mungu na kumsindikiza kwa dua zetu njema. Hakika kama ilivyoagizwa, mtu mwema husindikizwa na mema yake aliyoyaacha duniani. Mwenyezi Mungu ndiye msiri wa yote, lakini kwa yale tuliyobahatika kuyaona, Prof Haroub ameacha hazina kubwa duniani ambayo thawabu zake zitaendelea kumwendea huko aliko milele na milele. Ameacha elimu, ameacha hekima, ameacha watoto wema na ameshiriki mambo mengi mema wakati wote kwa nafasi yake na kwa kujitolea mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…