🤣🤣🤣🤣 Morrison by professional nilimkubali sana aliposema "Nikiwa Ghana katika uzee wangu siwezi kuiomba Simba Sc hela" Alikuwa anahitaji future contract lkn CEO akamgomea.
Hawa akina Fei Toto wakizeeka watachangiwa fedha na wananchi wakipata challenge maana vilabu vikubwa hapa nchini havithamini watu waliowaletea mafanikio.