GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Madaktari mliopo humu Jamvini tunaomba msaada wenu tafadhali kwamba Kitabibu au Kiafya Binadamu anatakiwa kutumia muda gani Kutoa Haja Kubwa yake pindi awapo Chooni kwani kuna mahala fulani nimeona Watafiti fulani hivi wakisema kwamba muda unaotakiwa Mtu Kuutumia huko ni dakika 3 tu na ukichelewa sana basi ziwe 5 na kama ukizidisha hapo basi utakuwa na matatizo ya Kiafya.
Nimelileta hili Kwenu ili nyie Madaktari mtusaidie kutupa ufafanuzi wa Kitaalam kwani hapa ' Kitaani ' nilipopanga kuna ' Mabrazameni ' wawili hivi wao wakiingia tu Chooni kutoa hiyo huduma ya Haja Kubwa unaweza ukaangalia Taarifa ya Habari nzima ya ITV na ukaongezea na ile ya BBC inayorushwa na Star tv kwa Nusu saa na bado akawa hajamaliza.
Je Madaktari kuna ukweli wowote hapa?
Nawasilisha.
Nimelileta hili Kwenu ili nyie Madaktari mtusaidie kutupa ufafanuzi wa Kitaalam kwani hapa ' Kitaani ' nilipopanga kuna ' Mabrazameni ' wawili hivi wao wakiingia tu Chooni kutoa hiyo huduma ya Haja Kubwa unaweza ukaangalia Taarifa ya Habari nzima ya ITV na ukaongezea na ile ya BBC inayorushwa na Star tv kwa Nusu saa na bado akawa hajamaliza.
Je Madaktari kuna ukweli wowote hapa?
Nawasilisha.