Kiama cha marejesho nimechukua simu Infinix note 5 kwa wadaiwa wangu watumishi kama Serikali haiwajali na mimi sina huruma

Kiama cha marejesho nimechukua simu Infinix note 5 kwa wadaiwa wangu watumishi kama Serikali haiwajali na mimi sina huruma

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Sasa watumishi wanaokopa kwangu kwa riba watakiona cha moto mpaka akili ziwarudi pumbavu zao, marejesho yakichelewa sina huruma na hawa ngedere tukiwaambia waache ujinga wa kujilegeza hawataki. Awamu hii serikali mdebwedo hadi mseme ngedere nyie.

Na ikipita leo ngedere watasaga meno niliwaambia hii serikali matope itaishiwa pumzi wanaishobokea sasa moto ndio umewafika shingoni.

Maisha hayana huruma dadadadeki.

Unyama unyama tu.

Wadiz
 
Sasa watumishi wanaokopa kwangu kwa riba watakiona cha moto mpaka akili ziwarudi pumbavu zao, marejesho yakichelewa sina huruma na hawa ngedere tukiwaambia waache ujinga wa kujilegeza hawataki. Awamu hii serikali mdebwedo hadi mseme ngedere nyie.

Na ikipita leo ngedere watasaga meno niliwaambia hii serikali matope itaishiwa pumzi wanaishobokea sasa moto ndio umewafika shingoni.

Maisha hayana huruma dadadadeki.

Unyama unyama tu.

Wadiz
Kuwa na subra mkuu, salary inasoma Leo na hapa nipo Nmb [emoji763]
 
Kuwa na subra mkuu, salary inasoma Leo na hapa nipo Nmb [emoji763]
Wao wako crdb nazurura na kadi zao na hio benki ya kipumbavu acha wakome hao ngedere tunawapa pesa wanywee pombe na mademu mbadala wake kila siku inaongezeka elfu10 nafidia hasira zangu kwa TRA
 
Pale mwenye nacho anavyomnyanyasa asiyekuwa nachooo......

Ccm inajua jinsi yakuishi na waajiri wake..
 
Back
Top Bottom