Kiapo cha damu nlichokula na boyfriend wangu kinanitafuna aiseee

Mara useme hukumbuki ulisema nn kwenye kiapo mara unaogopa kuwa kichaa uongo uongo tu
 
wewe Si ndo ulikuwa unaomba maoni " kua kuna kijana anataka kukuoa umkubalie au la"??
 
Acha ujnga na uhafidina hakuna laana za namna hiyo.
 
Wewe bado unampenda huyo boy wako, alikukaza vizuri ndo maana unamuwazaz sana na unasingizia ujinga mwingine. Be real, mwambie bado unampenda.
 
Hujapata wa kukusahulisha, mbona huo ni ujinga wa mapenzi unaitwa.

Subiri ukutane na wana wa Israel wawili watatu wakuonyeshe Ulimwengu ulivyo utaziona hizo km hadithi za kale.
 
Kiapo ni kiapo! Ishi kulingana na kiapo! Kama mwenzako kakengeuka na haendani na kiapo unaweza kujifungua ukiokoka na ukatumia damu ya Yesu! Nje ya hapo haiwezekani!
 
ipo damu ya Yesu yenye nguvu kuliko damu yoyote
 
Hujapata wa kukusahulisha, mbona huo ni ujinga wa mapenzi unaitwa.

Subiri ukutane na wana wa Israel wawili watatu wakuonyeshe Ulimwengu ulivyo utaziona hizo km hadithi za kale.
Bado nasubiri dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…