Gamba la Mbu
Senior Member
- Jun 28, 2020
- 160
- 417
"Uchaguzi huu nimeamua kutolalamika, Wahuni tutamalizana nao kihuni haitojalisha cheo alichonacho...Ili Uchaguzi uwe huru na Haki lazima kuheshimu maamuzi ya Wananchi tofauti na hapo ni Uhuni tu, ambao kwangu nikuwa muhuni zaidi ya wahuni wajinga. Mungu ni saidie. AMEN"