Kiasi cha mchele kinachopendekezwa ukile

Kiasi cha mchele kinachopendekezwa ukile

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hii sio kutoka kwa janabi hii ni kutoka kwa Wataalamu wanasayansi wa mambo ya lishe wanapendekeza Saizi ya kawaida ya mchele kwa watu wazima ni ½ kikombe cha mchele uliopikwa.
Size hio ni sawa na ukubwa kama wa chungwa Hivi. mchele mweupe huo unatosha kabisa kutoa nyuzi nyingi zaidi, protini, na virutubisho vingine.haukatazwi kula mchele kila siku hauna shida ila ukiwa unakula kula mpunga kidogo halafu mboga mboga ziwe nyingi.
 

Attachments

  • images (19).jpeg
    images (19).jpeg
    33.4 KB · Views: 4
Hii sio kutoka kwa janabi hii ni kutoka kwa Wataalamu wanasayansi wa mambo ya lishe wanapendekeza Saizi ya kawaida ya mchele kwa watu wazima ni ½ kikombe cha mchele uliopikwa.
Size hio ni sawa na ukubwa kama wa chungwa Hivi. mchele mweupe huo unatosha kabisa kutoa nyuzi nyingi zaidi, protini, na virutubisho vingine.haukatazwi kula mchele kila siku hauna shida ila ukiwa unakula kula mpunga kidogo halafu mboga mboga ziwe nyingi.
Asante kwa taarifa 🙋‍♀️
 
Hii sio kutoka kwa janabi hii ni kutoka kwa Wataalamu wanasayansi wa mambo ya lishe wanapendekeza Saizi ya kawaida ya mchele kwa watu wazima ni ½ kikombe cha mchele uliopikwa.
Size hio ni sawa na ukubwa kama wa chungwa Hivi. mchele mweupe huo unatosha kabisa kutoa nyuzi nyingi zaidi, protini, na virutubisho vingine.haukatazwi kula mchele kila siku hauna shida ila ukiwa unakula kula mpunga kidogo halafu mboga mboga ziwe nyingi.
Ukitaka kujichanganya Anza kuweka masharti ya msosi,hao wataalamu Kila mtu anataka tuishi wanavyoishi ni ngumu kibongo bongo maana chakula pia kinaendana na umri,kazi na appetite Sasa nusu mpasua mawe au fundi zege ako kanusu kanatosha nini
 
Hii sio kutoka kwa janabi hii ni kutoka kwa Wataalamu wanasayansi wa mambo ya lishe wanapendekeza Saizi ya kawaida ya mchele kwa watu wazima ni ½ kikombe cha mchele uliopikwa.
Size hio ni sawa na ukubwa kama wa chungwa Hivi. mchele mweupe huo unatosha kabisa kutoa nyuzi nyingi zaidi, protini, na virutubisho vingine.haukatazwi kula mchele kila siku hauna shida ila ukiwa unakula kula mpunga kidogo halafu mboga mboga ziwe nyingi.
Mzee yule anatuchanganya,asante kwa taarifa muhimu
 
Kuna Watu Wanateta Eti, Eti Lakini Professor Janabi Kaonekana Sehemu Anakula Chips, Yai, Soda Pembeni
 
Hii sio kutoka kwa janabi hii ni kutoka kwa Wataalamu wanasayansi wa mambo ya lishe wanapendekeza Saizi ya kawaida ya mchele kwa watu wazima ni ½ kikombe cha mchele uliopikwa.
Hivi watu wanakula mchele au wali?
 
Hii sio kutoka kwa janabi hii ni kutoka kwa Wataalamu wanasayansi wa mambo ya lishe wanapendekeza Saizi ya kawaida ya mchele kwa watu wazima ni ½ kikombe cha mchele uliopikwa.
Size hio ni sawa na ukubwa kama wa chungwa Hivi. mchele mweupe huo unatosha kabisa kutoa nyuzi nyingi zaidi, protini, na virutubisho vingine.haukatazwi kula mchele kila siku hauna shida ila ukiwa unakula kula mpunga kidogo halafu mboga mboga ziwe nyingi.
Do we bugia mchele,mpunga,mamchele or wali?😎
NB;Mchele wanakula wajawazito na ndege.
 
Hii sio kutoka kwa janabi hii ni kutoka kwa Wataalamu wanasayansi wa mambo ya lishe wanapendekeza Saizi ya kawaida ya mchele kwa watu wazima ni ½ kikombe cha mchele uliopikwa.
Size hio ni sawa na ukubwa kama wa chungwa Hivi. mchele mweupe huo unatosha kabisa kutoa nyuzi nyingi zaidi, protini, na virutubisho vingine.haukatazwi kula mchele kila siku hauna shida ila ukiwa unakula kula mpunga kidogo halafu mboga mboga ziwe nyingi.
Wanasayansi gani hao wa lishe waliokwambia kuwa mchele ni protini??
 
Back
Top Bottom