T THE DAR BAR Member Joined Nov 25, 2010 Posts 15 Reaction score 0 Apr 24, 2011 #21 MimI napendekeza Prof Anna Tibaijuka ni kiongozi wa kweli kupita hata Dk slaa
K KALABASH JF-Expert Member Joined Jan 26, 2011 Posts 498 Reaction score 210 Apr 30, 2011 #22 una uhuru na ni haki yako kupendekeza. Ila usisahau pendekezo lako kulisupplement na ombi kwa Muumba wako asitoe kibali cha kubadilisha tume ya uchaguzi iliyopo vinginevyo kutakuwa na vilio na usagaji wa meno.
una uhuru na ni haki yako kupendekeza. Ila usisahau pendekezo lako kulisupplement na ombi kwa Muumba wako asitoe kibali cha kubadilisha tume ya uchaguzi iliyopo vinginevyo kutakuwa na vilio na usagaji wa meno.