Kiasi gani kutoa kwa wakala unatoa kwa mashaka mashaka sana?

google helper

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
9,623
Reaction score
13,759
Habari za weekend wakuu.

Katika maisha mambo ni moto kuna kupanda na kushuka. Kuna kipindi unaenda kwa wakala unashindwa kumwambia natoa buku au akuunge kifurushi maana hali ni ngumu. Na siku ukienda na kimeo kama hivyo watu kibaoo unahangaika tu kama mtu anayetaka kukopa kwa Mangi.

Kwako ni kiasi gani ukifika kwa wakala hali inakuwa ngumu ?
 
HAKUNA KITU KIZURI KUISHI MAISHA YAKO UNAYOYAWEZA BILA UOGA WALA AIBU YOYOTE
ni kweli japo kuna kipindi tunavuka 0 mpaka negative ndo kasheshe inapoanza. hata ww mkuu kama ukienda kukopa kwa Mangi iko namna ujasiri unakuisha kabisa.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…