Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 50
Mama mmoja aliingia katika ofisi fulani,tatizo hakupiga hodi hivyo wenyeji wake ambao wote walikuwa wanaume wakahamaki,
Wenyeji: we vipi,mbona haupigi hodi? ungetukuta tunavaa je?
Mama mgeni: Kwani tatizo liko wapi,wote humu tuko wanaume watupu.huku akicheka
Wenyeji: Alaaah kumbe,ebu tuonyeshe kiatena chako.
wote wakacheka.
Wenyeji: we vipi,mbona haupigi hodi? ungetukuta tunavaa je?
Mama mgeni: Kwani tatizo liko wapi,wote humu tuko wanaume watupu.huku akicheka
Wenyeji: Alaaah kumbe,ebu tuonyeshe kiatena chako.
wote wakacheka.