Kiba ampigia debe Diamond

Mesikia ndio kiswahili gani? Mnaudhi watu wazima kuongea kama watoto Et mesikia! Unamdekea nani hapa sasa?
Kumbe watoto ndio husema vivi, wataka nitoa mato kisa vilahaja na Viswahili?
 
Yeye ndio alimtoa, wakati akiwa CEO wa Sharobaro... Ni mwanae wa kumlea!


CEO? Wabongo wanachekesha sana, mtu kumiliki keyboard, computer na microphone nne unamwita CEO.
 
Hahahaa!!
Ila sku hizi naona mademu wa bongo movie wanakomaa na waimba nyimbo.. Hata madansa au hata katoto kakiwa na tunyimbo tumoja bongo muvi hawaoni shida kupanua upaja

Chanzo cha yote haya ni D.
 
Huyo Jane lowasa acha ubaguzi ndo ndo maana anaeleta maendeleo tunampiga sasa ww hutaki kiba ampigie diamond kura.wa Tz tunapendana ww cjui wa wapi
 
madem wa bongo ni cha wote wewe huoni kijyaa mmama kama wolper anamuonyesha uchi wake mtoto harmonize?
sijui wanachanganyikiwa na nini haki ya Mungu!! ila me nadhani wanaume ndiyo wenye matatizo, mfano diamond alipotoka tu kaanza kukomaa na wema,mara jokate mara Wolper....huyu Idris nae kapiga hela tu huyo kwa wema,huyu Harmonize nae ameona akomae na Wolper,tena huyu Harmonize inawezekana kabisa alikuwa anataka aende kwa wema basi tu amemuonea aibu diamond...nashindwa kizielewa akili za hawa watu kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…