Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,828
we ni me au ke? ila nnayemjua mimi ni me,sasa nashindwa kuelewa hapa
ni kwasababu Mapedeshee wameishiwa baada ya JK kutoka madarakani.Hahahaa!!
Ila sku hizi naona mademu wa bongo movie wanakomaa na waimba nyimbo.. Hata madansa au hata katoto kakiwa na tunyimbo tumoja bongo muvi hawaoni shida kupanua upaja
ni kwasababu Mapedeshee wameishiwa baada ya JK kutoka madarakani.Hahahaa!!
Ila sku hizi naona mademu wa bongo movie wanakomaa na waimba nyimbo.. Hata madansa au hata katoto kakiwa na tunyimbo tumoja bongo muvi hawaoni shida kupanua upaja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka kwa sautMesikia ndio kiswahili gani? Mnaudhi watu wazima kuongea kama watoto Et mesikia! Unamdekea nani hapa sasa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka kwa saut
Kidingi habari yako? Za siku nyingiHawa watu hawapo sawa na sidhani kama watakuja kuwa sawa hivi karibuni.
Hata yakitokea maajabu wao wapatane, bado tatizo litakuwa kwa mashabiki wa Kiba (hasa waliotoka team wema) hawa watu wanamchukia Diamond kutoka damuni, kwahiyo kupatana kwa Kiba na Diamond bado kutakuwa na JIPU lililotuna "Wema sepetu" ... Na sio kama wapo wengi saaaaana ila "MAKELELE YA WACHACHE YANASIKIKA KULIKO UKIMYA WA WENGI" kutokana na matusi matusi n.k
ni LAZIMA ATOE SALUTI KWA DIAMOND(SIMBA MKALI).. KWA SIMBA KILA GOTI LITAPIGWAKuna habari mesikia mahali kuwa Kiba ameomba Watanzania wampigie kura Chibu, Baba Tiffah, Nasibu Abduli, Diamond Platinumz, kwenye tuzo Fulani za kimataifa, kwenye Kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio.
pengine uko sahihi!!! huyu sio mtu wa mipasho kwakweliLabda Kuna demu ka-hack account ya huyu mjomba
Kidingi habari yako? Za siku nyingi
Daaaah!!Kiba kashaanza kulegea kwa Simba.
Naomba MODs wanipe ruhusa ya kukutukana tafadhali.ni LAZIMA ATOE SALUTI KWA DIAMOND(SIMBA MKALI).. KWA SIMBA KILA GOTI LITAPIGWA
Dah! Umejua kunichekeshaMesikia ndio kiswahili gani? Mnaudhi watu wazima kuongea kama watoto Et mesikia! Unamdekea nani hapa sasa?
Inawezekana ni chakula ya watu mzee..Mesikia ndio kiswahili gani? Mnaudhi watu wazima kuongea kama watoto Et mesikia! Unamdekea nani hapa sasa?