Kiba ataja sababu iliyomfanya asioe

proxy

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
1,479
Reaction score
1,348

Alikiba ameitaja sababu iliyomfanya ashindwe kumuoa mwanamke yeyote kati ya watatu aliozaa nao.

Hitmaker huyo wa Lupela alisema kuwa hakupenda kulazimisha iwe hivyo.“Unajua hauwezi kumuoa mtu kama hamuelewani.

"Nia yangu ilikuwa ni kustick na kila mama wa mtoto wangu toka nilipoanza. Lakini mambo yanaenda tofauti, huenda tunapogombana anatafuta mtu mwingine,” anasema Kiba.“Kwahiyo hautakiwi kuforce mapenzi, mimi nataka nikae na mtu ambaye tutaelewana,” ameongeza.

Alikiba ana watoto wawili wa kike, Amiya Kiba, Chamy Kiba na mmoja wa kiume, Sameer Kiba. Wote ni watoto wa mama tofauti.
 
wasanii wengi wapo hivyo kuoa kwao ni mtihani kwani huwezi kumpata wa kumuoa ikiwa wewe mwenyewe huna nia ya kuoa kwani hajui mwanamke wa aina gani aowe
 
Kuoa ni nia tuu na hauwez pata mtu mna elewena asilimia 100

Watu wa tatu wote wawe wana shda wao!! Apo Ali ndo jipu
 
Lakin kweli kwa dunia ya sasa waweza zaa na wadada zaid ya kumi hawaeleweki hawa wenzetu unakuta mke wa mtu anakwambia nimwagie tu bae
 
Lakin kweli kwa dunia ya sasa waweza zaa na wadada zaid ya kumi hawaeleweki hawa wenzetu unakuta mke wa mtu anakwambia nimwagie tu bae
huwa najiuliza sana anakwambia we mwaga tu shauri lako

si mke wa mtu si nani yaani ni hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…