BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Umesoma tangazo vizuri au umedakiaHalafu wandishi wa vichwa vya habari na MADA humu tofauti.
Dunia na South Africa ni vitu viwili tofauti
Angalau hii @FromTandaleToWorldwideTour huyu alikua sahihi.
[emoji85] [emoji85]Acha roho mbaya.
Kwani kufanya show hiyo management yenye uwezo wanalipa ili msanii wao afanye show?Mtumie akili haend kufanya show anafanya media tour.bado management yake haijafikia uwezo huo kwa sasa
Ninavyotaka mimi kivipi sasausikalili English mkuu yaani ulitaka aandike unachotaka ww...... you start at
Mmmhh.. Uongo mwingine bwanaHuko Kongo unakokusema anapendwa kuliko hata rais Kabila
Kongo mbal kisarawe tu hafik maarufu wake kama bas la mwendo kas mwisho mbezKongo tu hawamjui!
Lakini sio mbaya,huko south wanamjua,si ndio aliposhoot muvi ya Gods must be crazy!Wewe unajulikana wapi?Watu wana chuki utafikiri aliwalia vyenu
Hapana mkuu ni utani tu ambao wale wenye timu zao ndio huwa wanarushiana hayo maneno! Hata wakati nacomment nilikua nasikiliza ngoma ya kiba - far away ft ChidbenzUmeanza na kejeli ukaishia na pongezi
Hiyo picha yako tu inaashiria ni wale special group wa makonda!Samahani we mwanaume
Nani aliekwambia kuwa bango huwa linaandikwa na Msanii?!Huyu alisema yeye kwake tuzo sio muhimu ila sasa naona hadi kwenye bango kaanza kuandika kuhusu tuzo. Angalia hata hilo bango kaandika "Multi award winner" na kazitaja na hizo tuzo. Sasa sijui ilikuwa sizitaki mbivu hizi.