Naona umeamua kumfata Mange Kimambikama diamond alimuchukia ali kiba pamoja na kuwa kiba alijulikana kama msanii ambaye Muziki wake ni Wa humuhumu nchini yaani hauna Hadhi ya kimataifa, itakuwa vipi kwa kitendo cha Kiba kuanza kuucharanga muziki wenye kiwango cha kimataifa? Je Diamond si ndio atazidisha bifu? ukizingatia kuwa sasa wataanza kugongana angani?
yangu macho na masikio
Inamaana bado alikuwa wa matopeni.?kama diamond alimuchukia ali kiba pamoja na kuwa kiba alijulikana kama msanii ambaye Muziki wake ni Wa humuhumu nchini yaani hauna Hadhi ya kimataifa, itakuwa vipi kwa kitendo cha Kiba kuanza kuucharanga muziki wenye kiwango cha kimataifa? Je Diamond si ndio atazidisha bifu? ukizingatia kuwa sasa wataanza kugongana angani?
yangu macho na masikio
Siku ya leo una kazi kubwa, una thread za kutosha kuhusu diamond
Nayeelewa diamond ni Msanii wa Muziki gani kwa sasa aje aniambie, naona kama anatapatapa
Ila kuna ka ukweli hapa. Wapambane tuu bila chuki