Kiba: Leo atakayekuja backstage wakati naperfom, kitakachompata siwezi kuwa responsible (UTANI)

Kiba: Leo atakayekuja backstage wakati naperfom, kitakachompata siwezi kuwa responsible (UTANI)

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Ali Kiba kafanya interview na mzazi Willy Tuva kuhusu tuzo za MTV leo na ametoa onyo kali sana kwa watu wenye tabia ya kuzima mic wakati anafanya yake jukwaani. Ali Kiba amesema kuna uwezakano mkubwa mtu akaumia endapo atataka kufanya mambo ya ajabu.

Mtanzania huyo ambaye kwa miaka mingi amekuwa na tabia za kutuwakilisha kimataifa pia amedai atakuwa msanii wa mwisho kupafomu katika tuzo hizo za MTV hii inatokana na waandaji kuhofia endapo akiwa wa kwanza kuimba shoo inaweza kuisha mapema baada ya King kushuka jukwaani.

MAONI: Watu ambao mko karibu na Wasafi ambao wana familia zinawategemea wapeni hizi taarifa hili kuondoa matatizo yyt yanayoweza kuji yasiyo ya muhimu.
 
Ali Kiba kafanya interview na mzazi Willy Tuva kuhusu tuzo za MTV leo na ametoa onyo kali sana kwa watu wenye tabia ya kuzima mic wakati anafanya yake jukwaani.
Ali Kiba amesema kuna uwezakano mkubwa mtu akaumia endapo atataka kufanya mambo ya ajabu.
Mtanzania huyo ambaye kwa miaka mingi amekuwa na tabia za kutuwakilisha kimataifa pia amedai atakuwa msanii wa mwisho kupafomu katika tuzo hizo za MTV hii inatokana na waandaji kuhofia endapo akiwa wa kwanza kuimba shoo inaweza kuisha mapema baada ya King kushuka jukwaani.
MAONI.
Watu ambao mko karibu na Wasafi ambao wana familia zinawategemea wapeni hizi taarifa hili kuondoa matatizo yyt yanayoweza kuji yasiyo ya muhimu
Acheni kujipa maumivu kwa kuifananisha Simba na Man U,kisa eti wanavaa uzi zinazokaribia kufanana.
 
Kama hayo maneno ni ya Ali kiba basi huyu jamaa atakua ni zezeta sasa maneno gani hayo ya kuongea? asee hajielew huyu jamaa utadhania scorpion wa buguruni anawaza chuki na ubinafsi tu
 
Kama hayo maneno ni ya Ali kiba basi huyu jamaa atakua ni zezeta sasa maneno gani hayo ya kuongea? asee hajielew huyu jamaa utadhania scorpion wa buguruni anawaza chuki na ubinafsi tu
Msagasumu yupo kufurahisha jukwaa unaweza ukatukana bure soma uzi zake zote JF ziko kwa ajili ya burudani
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nilishtuka kwa heading nilipofungua uzi na kukuta ni MSAGA SUMU nimecheka sana.
Jamaa wako vipi aisee? Umeona ule uzi akibwaga Lugha ya Malikia? Ngoja nikutag! Ila siku hizi haeleweki
 
Back
Top Bottom