Kiba na Diamond nani yupo radhi kuona beef lao likiisha?

isho_boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
2,145
Reaction score
1,892
Hivi ukiangalia hili beef nani anafaidika sana kati ya awa wawili....na je akitokea mtu wa kuwapatanisha nani yupo radhi kuona hili beef linaisha kabisa iwepo amani kati yako.....maoni yenu tafadhari
 
Ni njia inayotumika kutengeneza dili na si kingine
 
Kinadharia hakuna "bifu" ila kuna mtu/watu wanapuliza, na anayepuliziwa anapenda kwa kuwa linamsaidia.
 
Kinadharia hakuna "bifu" ila kuna mtu/watu wanapuliza, na anayepuliziwa anapenda kwa kuwa linamsaidia.
Sasa bifu likisha huyu jamaa huduma hii ataipata wapi? na hawa wanafanya hivi kwa madonge yao wakijiaminisha kuwa wana mrusha mtu roho.
 
Sasa bifu likisha huyu jamaa huduma hii ataipata wapi? na hawa wanafanya hivi kwa madonge yao wakijiaminisha kuwa wana mrusha mtu roho.
Huyu hawezi kukubari hiki kitu kife,maana ndio kitakuwa kifo chake na hata watu wake wa karibu wamemwambia hivo na ndio maana akiwa anahojiwa popote lazima aseme cha k
uchokonoa hiko kinachoitwa "bifu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…