chuki binafsi tu hizo mkuuSijajua huo ni ukunga au ni jingle yako kwny kila wimbo.... Usipopayuka "yaaaaah" nyimbo inakuwa nzuri... Ona nyimbo yako ya AJE hujapayuka kidogo ina afadhali lkn mpayuko wako kwny Mapela na Chekechua uliharibuu na Sautisol wamesema huo mpayuko uliharibu kwny wimbo wao.
Pop It In. YyyeaaaaahhKile kisauti nakipendaje. Yaaaaaaaaaaaaaa
Pop it in[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na papiliiiiii pia
Eeeeeeeh kumbe, lakini na hiyo aache kuisema banaPop it in
Kumbe ni 'pop it in' mimi huwa nadhani anasemaga popiriiiiiii hahahah kidhungu hiki bhana..Pop it in
aisee mtani kwanza niwape pole maana salome nayo imepita, yaani nyimbo za wcb sijui zina matatizo gani hazikai hata mwezi, poleni sana kwakweliKumbe ni 'pop it in' mimi huwa nadhani anasemaga popiriiiiiii hahahah kidhungu hiki bhana..
Alafu hivi anapayukaga yaaaaaaaaahh au yoooooooohhh (huku pua imebanwa)
Mtani njoo uone vijana wameanzisha vita ya mawe huku wakati wanaishi kwenye nyumba za vioo CC: peterchoka
Hawezi kumridhisha kila mtu ujue. Kuna tunaoipenda.Eeeeeeeh kumbe, lakini na hiyo aache kuisema bana
Eti anapayuka, hamna jema nyie, hebu mumuwache King.Kumbe ni 'pop it in' mimi huwa nadhani anasemaga popiriiiiiii hahahah kidhungu hiki bhana..
Alafu hivi anapayukaga yaaaaaaaaahh au yoooooooohhh (huku pua imebanwa)
Mtani njoo uone vijana wameanzisha vita ya mawe huku wakati wanaishi kwenye nyumba za vioo CC: peterchoka
Hahahahaha mtani inamaana hujui kuwa Salome iko namba moja kila kona ya Africa! Acha masihara mtani..aisee mtani kwanza niwape pole maana salome nayo imepita, yaani nyimbo za wcb sijui zina matatizo gani hazikai hata mwezi, poleni sana kwakweli