Elly_corner
Senior Member
- May 5, 2015
- 120
- 205
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa ndo mmeona leo au ndo kukosa vya kupost
Shangaa wewe, mwaka umeisha sasa tokea afanye hivyo leo ndio anaona hilo.
Kwahyo na ww unasupport hili suala...au mapenzi ndo yanakuendesha
#mahabaniuenikulambenyayo
Huyo akili ndogo anaiga vitu vya mastaa wa nje kazi kugawa mimba tu mxiuuuuuuu
How come haujamfollow hata mtu mmoja kwenye account yako...au ndo mapozi yenyewe haya..ina maana hata hutaki kushow love kwa wasanii wenzio :what:😡
How come haujamfollow hata mtu mmoja kwenye account yako...au ndo mapozi yenyewe haya..ina maana hata hutaki kushow love kwa wasanii wenzio :what:😡
Huyo akili ndogo anaiga vitu vya mastaa wa nje kazi kugawa mimba tu mxiuuuuuuu
Hivi kwanza umeshapigia kura Saut soul kwenye tuzo za BET?
Back to topic: Alikiba ni mfalme hivyo haina haja ya kuwafollow watu anaowaongoza bali wao ndiyo wanaotakiwa kumfollow Mfalme.
Sasa knachokuuma nn
Mhh! we ni me au ke!?? mana huo msonyo,duh
Hahaaaa ni wa mdada asiye tena mwenye stress za mi...... Changa ya kutelekezwa.