Kibabu kinapojisalimisha mikononi mwa kabinti!

ndyoko

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
4,971
Reaction score
1,652
Toa 'comments' zako tafadhali!
 

Attachments

  • mambo (2).jpg
    27.9 KB · Views: 161
mtumeee balaa gani hili!.......,nimuuite bebi wakati mtu kajizeekea jaman,aku......:shut-mouth:
 
no big deal so long at the end of the day, kila mmoja anapata kile anachotaka
 
Inanikumbusha Katibu Mkuu mmoja wa chama kimoja cha siasa na demu wake!
 
Hahaha aisay umenichekesha ile mbaya yake mpaa naona kizungu zungu kwa kucheka.

:lol:
 
Hilo lichupi alilolivaa Babu zamani tulikuwa tukiita 'MPATE' maana kwenye hadhi ya kuitwa chupi haipo.
 
anajua ilipo dhahabu cheki mkono wake ulipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…