Malaria sugu yuko wapi ? Nasikia amelazwa.
Hii kali, watakuwa wanamuelewa uwezo wake vizuri zaidi; na hiyo inaweza kuwa ndo sababu halisi.ni kweli mtoto anaongoza kibaha mjini,koka wa ccm chupi inabana,mtoto anaongoza maeneo ya mwanalugali,picha ya ndege, tumbi, matokeo ambayo hayajatangazwa ni kata ya boko kituo cha tumbi kibaha secondary shule aliyosoma Kikwete amepata kura 40,MR Weapon(slaa)98 kumbe hata walimu wake hawamkubali
Jumatatu ya leo ni nzuri sana haijawahi kutokea ...
aseme nini ndugu yangu zaidi ya pumba??
Mpango wao wa udini kwisha
nguvu ya wananchi ni nguvu kuuuuuuuuuuuuuuuuu
sauti ya wanyoge ni kuuu
make hatuamini ushindi unatokana na kwenda kwa wanajimu.
nchi haiwezi ongozwa na majini
huyo boss wa makamba naye ataanguka chari mbaya.
labda wachakachue
xxx
hongeleni chameda..........:smile-big: