Kuna laana au dhambi zingine hata shetani ameamua kufumba macho. Hivi hii mikundu imewekewa nini?Mama mmoja mkazi wa Kibaha Msangani anaiomba serikali iweze kumsaidia kupata haki ya mtoto wake wa kiume anayesoma darasa la tano baada ya kulawitiwa na rafiki wa baba yake ambaye kwa sasa ameachiwa huru baada ya kutekeleza tukio hilo.
Mama wa mtoto huyo anasema kuwa baada ya kutoa taarifa kituo cha polisi mtoto huyo alipimwa lakini hakuna ushirikiano anaoupata na mpaka leo kesi ya mtoto wake haijapelekwa mahakamani.
Haya mambo yasikie tu kwa wengine ila likufikapo!
Utajiri boss watu wamekuwa wanyama sana na kuna matukio mengi tu hayasemwi ya wababa wanatembea na binti zao kwa ajili ya pesa za kishirikina inabaki siri ya famili au mama..!Mpaka sasa huwa sielewi ni kitu gani kunasababisha mtu afanye jambo hilo. Ni ukichaa, ushirikina ama ni nini?
🥺Mama mmoja mkazi wa Kibaha Msangani anaiomba serikali iweze kumsaidia kupata haki ya mtoto wake wa kiume anayesoma darasa la tano baada ya kulawitiwa na rafiki wa baba yake ambaye kwa sasa ameachiwa huru baada ya kutekeleza tukio hilo.
Mama wa mtoto huyo anasema kuwa baada ya kutoa taarifa kituo cha polisi mtoto huyo alipimwa lakini hakuna ushirikiano anaoupata na mpaka leo kesi ya mtoto wake haijapelekwa mahakamani.
Pia soma:
Aisee, pesa inatoa sana utu. Inasikitisha sana...Utajiri boss watu wamekuwa wanyama sana na kuna matukio mengi tu hayasemwi ya wababa wanatembea na binti zao kwa ajili ya pesa za kishirikina inabaki siri ya famili au mama..!
Wakiwaomba muwape hawatoenda kulala kwa Watoto km mkiwapa mengine ni matatizo ya akili ni sawa na wale wanaokula kinyesi Chao wenyewe kuna sehemu nilikutana na mmoja yeye kinyesi cha Ng'ombe ndio msosi wake pendwa sio kurogwa ni tatizo la akili, nimekuambia kisaikolojia zaidiNiliacha kuangalia Tv na kusikiliza radio kwa sababu ya habari kama hizi. Sasa na huku nako ukiingia habari ndio zilezile.
Why umuumize mtoto asokuwa na hatia wala nguvu za kujitetea? Kuna binaadam hawana hata chembe ya huruma
Akili kichwaniRafiki wa Baba yake, mlalamikaji ni mama na sio baba.
Ndio maana mm nikishaanza kuona mtu anaenda enda kwa waganga au ana amini amini sijui dawq, nakaa nae kwa code mno.Utajiri boss watu wamekuwa wanyama sana na kuna matukio mengi tu hayasemwi ya wababa wanatembea na binti zao kwa ajili ya pesa za kishirikina inabaki siri ya famili au mama..!