KERO Kibaha, Mwanalugali B, bodaboda wanapora kiholela, wakitumia mapanga kuwadhuru watu

KERO Kibaha, Mwanalugali B, bodaboda wanapora kiholela, wakitumia mapanga kuwadhuru watu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Juzi tarehe 23/02/2025 saa mbili na nusu usiku walimkata panga mtoto wa jirani yetu hapa Mwanalugali B na kumpora simu kisha wakalisahau panga hilo eneo la tukio.

IMG-20250224-WA0042(1).jpg
IMG-20250224-WA0028(1).jpg
 
Back
Top Bottom