A Anonymous Guest Feb 25, 2025 #1 Juzi tarehe 23/02/2025 saa mbili na nusu usiku walimkata panga mtoto wa jirani yetu hapa Mwanalugali B na kumpora simu kisha wakalisahau panga hilo eneo la tukio.
Juzi tarehe 23/02/2025 saa mbili na nusu usiku walimkata panga mtoto wa jirani yetu hapa Mwanalugali B na kumpora simu kisha wakalisahau panga hilo eneo la tukio.
Chachu Ombara JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 6,067 Reaction score 10,938 Feb 25, 2025 #2 Anzeni kutembea na Pepper spray