Kibajaji ndio awamu yake ya mwisho kuwepo mjengoni ajiandae kisaikolojiaAjui hilo
Tukiataka kuzungumza ya Maalim Seif hapa tutakimbiana. Zitto asitake tufukue makaburi.
Magufuli anasemwa vibaya kwa kuwa alizuia watu kumsema vibaya, Kikwete mbona watu hawamsemi vibaya, Mkapa, Mwinyi na nyerere wao hawakuzuia watu kama alivyozuia Magufuli zile hasira za kuwazuia ndizo zinaonekana sasa hivi.Kanena ukweli tupu.
Sammie akidhani atasemwa vizuri siku aliondoka.
Well said
Akamfufue azikiwe yeye shetani mkubwa huyooLeo bungeni mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde amemvaa vikali kiongozi mkuu wa ACT, Zitto Kabwe kwa kumsema Hayati Magufuli. Kibajaji amemuita Zitto muoga kupitiliza kwani wakati Magufuli yupo hai hakusema mpaka ameondoka.
Pia Kibajaji amesema wote wanaomsema Magufuli ni wanafki na hata Samia akiondoka nae watamsema vilvile. Amemsifu Nyalandu kwa kusema kwa vitendo hawezi kufanya kazi na Magufuli wakati yupo hai na kuachia nafasi yake ya ubunge.
========
Kibajaji: Nchi yetu imeweka vizuri sana masuala ya utawala bora kisheria lakini kuna baadhi ya vyama kwa mfano pale Zanzibar, ACT tunashirikiana nacho kwenye utawala bora, sisi tuna Rais, tuna Serikali wao wana makamu wa kwanza wa Rais lakini mmesikia kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto anamnanga mheshimiwa Magufuli kana kwamba Zitto hashiriki kwenye Serikali.
Magufuli aheshimiwe, Zitto aelewe kwamba suala la kufiwa ni suala kubwa. Haiwezekani kwenye utawala bora tuache suala la Magufuli kuzungumzwa vibaya na mimi sitaacha.
Leo nnapoongea Waislamu mmefunga, dini inawakataza kuwasema vibaya marehemu, Zitto ni muislamu anajua.
Mheshimiwa Zitto anatutaka tunaompenda mheshimiwa Magufuli tukazikwe nae. Zitto amewahi kufiwa na mama yake, mimi sitaki kufika huko, mama wa Zitto ni mama yangu mimi. Mimi nimewahi kufiwa na baba yangu lakini ACT wamewahi kufika na makamu wa kwanza wa Rais, Zitto anatulazimisha sisi tuanze kumsema vibaya Maalim Seif, hatuwezi.
Inakuwaje watu mnakuwa waoga, viongozi wakiwepo hamsemi wakiondoka ndio mnasema, huu ni uoga uliopitiliza. Mtu mmoja tu alisema kwa vitendo kwamba yeye hawezi kufanya kazi na Magufuli, Nyalandu.
Aliachia ubunge akaondoka lakini watu tuliobaki hapa ni watu wa Magufuli na tumefanya nae kazi na tulikuwa tunamsifu.
Hawa watu ambao sasa wanamsema Magufuli na kumsema Samia na wanafiki wakubwa, Samia akiondoka watamsema vibaya hivyohivyo, ni bora mimi Lusinde ambae niko wazi na siwezi kuacha.
Pia, soma=> Zitto: Wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato, alikuwa Rais fisadi zaidi kuwahi kutokea Tanzania
Zitto alikuwa hamsemi Magufuli alivyokuw hai? Hiyo haki aliyonyimwa ni ipi? Huyu zitto ndio aliyesema Magufuli ni rais mshamba na hakuna aliyemfanya kitu.Hayati aliwanyima watu haki ya kusema kipindi angali hai, wacha asemwe akiwa mfu. Ulikua ukimkosoa lazima ushughulikiwe.
Ukiwanyima watu haki ya kusema ukiwa hai, utasema ukiwa kaburini. Ili uwe binadamu sharti usemwe.
Ni wapumbavu pekee wasiotaka kusemwa.
Sasa tofauti ipo wapi na sasa? Maana sasa hivi hamkosoi Samia(labda hajaona kasoro) ila yupo busy kumkosoa mtu ambaye ameshakufa..sasa ndio nini?Aliogopa Kwa kuwa wasiojulikana na vikosi kazi walikuwepo
Nani anamkosoa Samia ukiondoa watu wa humu mitandaoni? Hicho kipimo cha kuvuka mipaka ndio kile cha Ndugai?Ni sawa kuwa muoga kama kunguru Ili uishi..
Nani asiyejua kwamba Mwendazake hakutaka kukosolewa? Na wale waliothubutu waliishia kupotea na wengykupigwa risasi na wengine kuwekwa kwenye vopeto na kutoswa baharini wakaokotwa maiti..
Mwendazake alizuia kukosolewa alkiwa hai kwa hiyo ni sahihi kukosolewa akiwa huko huko kaburini..
Mbona Samia anakosolewa akiwa hai na Wala hahangaiki na mtu unless uvuke mipaka..
JK nae alokosolewa akiwa hai na akiwa Madarakani na hata alipotoka wala hakusakamwa kama Mwendazake..
Kwa hiyo huyo kibajaji kama ana mlenda Mwendazake aende kaburini kwake.
Huwezi kumkosoa mtu aliyekufa maana hawezi kujitetea unaweza ukamsingizia hawezi kujitetea, anachokifanya Zitto ni kumsema Marehemu kitu ambacho hakina msaada wowote zaidi ni hasira zake tu za kuminyiwa mirija.Lissu alimsema Magufuli akiwa hai akaishia kupigwa risasi, mbona hakujitokeza kukemea Lisu kushambuliwa kwa kumkosoa Magufuli akiwa hai? Kama hutaki kukosolewa ukiwa madarakani tena ukiwa hai, jiandae kupokea ukweli nje ya madaraka au ukiwa kuzimu.
Kwani kama kasoro hazioneka utashindana na upepo au?Sasa tofauti ipo wapi na sasa? Maana sasa hivi hamkosoi Samia(labda hajaona kasoro) ila yupo busy kumkosoa mtu ambaye ameshakufa..sasa ndio nini?
Ila unamaanisha nini?Kibajaji atazikwa Chato soon.
Kwa hiyo sisi tunaomsema unadhan hatujui hatusikii???? Tunajua tukimsema kina nani inawauma sisi kazi yetu ninkumsema mpaka wajiue tutaendeleankumsema hadi 2050Tusifikiri kumsema vibaya Magufuli kutasaidia kitu, hayupo na hawezi kujibu kitu, kama una tatizo naye maliza utakuja kukutana naye kwa Mungu.
Mtu akishatangulia kitabu chake kinafungwa, tunamuachia Mungu kuja kutoa hukumu.
Lusinde kasahau zito amesema mengi tu wakati magu yupo na ameitwa polisi nimkumbushe wakatiLeo bungeni mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde amemvaa vikali kiongozi mkuu wa ACT, Zitto Kabwe kwa kumsema Hayati Magufuli. Kibajaji amemuita Zitto muoga kupitiliza kwani wakati Magufuli yupo hai hakusema mpaka ameondoka.
Pia Kibajaji amesema wote wanaomsema Magufuli ni wanafki na hata Samia akiondoka nae watamsema vilvile. Amemsifu Nyalandu kwa kusema kwa vitendo hawezi kufanya kazi na Magufuli wakati yupo hai na kuachia nafasi yake ya ubunge.
========
Kibajaji: Nchi yetu imeweka vizuri sana masuala ya utawala bora kisheria lakini kuna baadhi ya vyama kwa mfano pale Zanzibar, ACT tunashirikiana nacho kwenye utawala bora, sisi tuna Rais, tuna Serikali wao wana makamu wa kwanza wa Rais lakini mmesikia kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto anamnanga mheshimiwa Magufuli kana kwamba Zitto hashiriki kwenye Serikali.
Magufuli aheshimiwe, Zitto aelewe kwamba suala la kufiwa ni suala kubwa. Haiwezekani kwenye utawala bora tuache suala la Magufuli kuzungumzwa vibaya na mimi sitaacha.
Leo nnapoongea Waislamu mmefunga, dini inawakataza kuwasema vibaya marehemu, Zitto ni muislamu anajua.
Mheshimiwa Zitto anatutaka tunaompenda mheshimiwa Magufuli tukazikwe nae. Zitto amewahi kufiwa na mama yake, mimi sitaki kufika huko, mama wa Zitto ni mama yangu mimi. Mimi nimewahi kufiwa na baba yangu lakini ACT wamewahi kufika na makamu wa kwanza wa Rais, Zitto anatulazimisha sisi tuanze kumsema vibaya Maalim Seif, hatuwezi.
Inakuwaje watu mnakuwa waoga, viongozi wakiwepo hamsemi wakiondoka ndio mnasema, huu ni uoga uliopitiliza. Mtu mmoja tu alisema kwa vitendo kwamba yeye hawezi kufanya kazi na Magufuli, Nyalandu.
Aliachia ubunge akaondoka lakini watu tuliobaki hapa ni watu wa Magufuli na tumefanya nae kazi na tulikuwa tunamsifu.
Hawa watu ambao sasa wanamsema Magufuli na kumsema Samia na wanafiki wakubwa, Samia akiondoka watamsema vibaya hivyohivyo, ni bora mimi Lusinde ambae niko wazi na siwezi kuacha.
Pia, soma=> Zitto: Wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato, alikuwa Rais fisadi zaidi kuwahi kutokea Tanzania
kiongozi mzuri hatetei mmoja anatetea maslai yawengi nimuulize lusinde vipi wakati wavuvi tunaonewa mbona hakumsema magu pia magu amedhulumu watu mpaka ajira akafanya niswala lahiyari mbona hahusema aache kulipa fadhila kijinga zito hakumuukopa magu ndio kiongozi aliosimama nawanampeta kuhusu mauji ndio aliokuwa akisema pesa alizo kuwa navuruga magu zimepitishwa nachombo kipi tunajua wanapima joto kuangalia time mama je inanguvu tuachie ccm yetu itazidi kuwa imara chini yamamaLeo bungeni mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde amemvaa vikali kiongozi mkuu wa ACT, Zitto Kabwe kwa kumsema Hayati Magufuli. Kibajaji amemuita Zitto muoga kupitiliza kwani wakati Magufuli yupo hai hakusema mpaka ameondoka.
Pia Kibajaji amesema wote wanaomsema Magufuli ni wanafki na hata Samia akiondoka nae watamsema vilvile. Amemsifu Nyalandu kwa kusema kwa vitendo hawezi kufanya kazi na Magufuli wakati yupo hai na kuachia nafasi yake ya ubunge.
========
Kibajaji: Nchi yetu imeweka vizuri sana masuala ya utawala bora kisheria lakini kuna baadhi ya vyama kwa mfano pale Zanzibar, ACT tunashirikiana nacho kwenye utawala bora, sisi tuna Rais, tuna Serikali wao wana makamu wa kwanza wa Rais lakini mmesikia kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto anamnanga mheshimiwa Magufuli kana kwamba Zitto hashiriki kwenye Serikali.
Magufuli aheshimiwe, Zitto aelewe kwamba suala la kufiwa ni suala kubwa. Haiwezekani kwenye utawala bora tuache suala la Magufuli kuzungumzwa vibaya na mimi sitaacha.
Leo nnapoongea Waislamu mmefunga, dini inawakataza kuwasema vibaya marehemu, Zitto ni muislamu anajua.
Mheshimiwa Zitto anatutaka tunaompenda mheshimiwa Magufuli tukazikwe nae. Zitto amewahi kufiwa na mama yake, mimi sitaki kufika huko, mama wa Zitto ni mama yangu mimi. Mimi nimewahi kufiwa na baba yangu lakini ACT wamewahi kufika na makamu wa kwanza wa Rais, Zitto anatulazimisha sisi tuanze kumsema vibaya Maalim Seif, hatuwezi.
Inakuwaje watu mnakuwa waoga, viongozi wakiwepo hamsemi wakiondoka ndio mnasema, huu ni uoga uliopitiliza. Mtu mmoja tu alisema kwa vitendo kwamba yeye hawezi kufanya kazi na Magufuli, Nyalandu.
Aliachia ubunge akaondoka lakini watu tuliobaki hapa ni watu wa Magufuli na tumefanya nae kazi na tulikuwa tunamsifu.
Hawa watu ambao sasa wanamsema Magufuli na kumsema Samia na wanafiki wakubwa, Samia akiondoka watamsema vibaya hivyohivyo, ni bora mimi Lusinde ambae niko wazi na siwezi kuacha.
Pia, soma=> Zitto: Wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato, alikuwa Rais fisadi zaidi kuwahi kutokea Tanzania
Zitto is a stupid person. Kuendelea kumjadili ni kupoteza muda.
Unaushahidi?Hata hivyo, zitto hawezi kubadirisha uamzi wa wanaomkubali JPM, ila yeye namhurumia na Uisilamu wake!
Kauli ya Zito ni mbaya sana ni dharau kwa binadamu walio hai na waliotangulia mbele za haki, ina maana kifo ni adhabu? kama ndiyo tafsiri yake tusubiri kumuona yeye akipaa kwenda mbinguni kama Nabii EliyaMheshimiwa Zitto anatutaka tunaompenda mheshimiwa Magufuli tukazikwe nae. Zitto amewahi kufiwa na mama yake, mimi sitaki kufika huko, mama wa Zitto ni mama yangu mimi. Mimi nimewahi kufiwa na baba yangu lakini ACT wamewahi kufika na makamu wa kwanza wa Rais, Zitto anatulazimisha sisi tuanze kumsema vibaya Maalim Seif, hatuwezi.
Zitto kabwe kakosea sana hajatumia lugha ya kistaarabu kumkosoa marehemu magufuli aombe radhi ,akumbuke jinsi alivyolia bungeni kipindi mama yake alivyosemwa akiwa kashafarikiLeo bungeni mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde amemvaa vikali kiongozi mkuu wa ACT, Zitto Kabwe kwa kumsema Hayati Magufuli. Kibajaji amemuita Zitto muoga kupitiliza kwani wakati Magufuli yupo hai hakusema mpaka ameondoka.
Pia Kibajaji amesema wote wanaomsema Magufuli ni wanafki na hata Samia akiondoka nae watamsema vilvile. Amemsifu Nyalandu kwa kusema kwa vitendo hawezi kufanya kazi na Magufuli wakati yupo hai na kuachia nafasi yake ya ubunge.
========
Kibajaji: Nchi yetu imeweka vizuri sana masuala ya utawala bora kisheria lakini kuna baadhi ya vyama kwa mfano pale Zanzibar, ACT tunashirikiana nacho kwenye utawala bora, sisi tuna Rais, tuna Serikali wao wana makamu wa kwanza wa Rais lakini mmesikia kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto anamnanga mheshimiwa Magufuli kana kwamba Zitto hashiriki kwenye Serikali.
Magufuli aheshimiwe, Zitto aelewe kwamba suala la kufiwa ni suala kubwa. Haiwezekani kwenye utawala bora tuache suala la Magufuli kuzungumzwa vibaya na mimi sitaacha.
Leo nnapoongea Waislamu mmefunga, dini inawakataza kuwasema vibaya marehemu, Zitto ni muislamu anajua.
Mheshimiwa Zitto anatutaka tunaompenda mheshimiwa Magufuli tukazikwe nae. Zitto amewahi kufiwa na mama yake, mimi sitaki kufika huko, mama wa Zitto ni mama yangu mimi. Mimi nimewahi kufiwa na baba yangu lakini ACT wamewahi kufika na makamu wa kwanza wa Rais, Zitto anatulazimisha sisi tuanze kumsema vibaya Maalim Seif, hatuwezi.
Inakuwaje watu mnakuwa waoga, viongozi wakiwepo hamsemi wakiondoka ndio mnasema, huu ni uoga uliopitiliza. Mtu mmoja tu alisema kwa vitendo kwamba yeye hawezi kufanya kazi na Magufuli, Nyalandu.
Aliachia ubunge akaondoka lakini watu tuliobaki hapa ni watu wa Magufuli na tumefanya nae kazi na tulikuwa tunamsifu.
Hawa watu ambao sasa wanamsema Magufuli na kumsema Samia na wanafiki wakubwa, Samia akiondoka watamsema vibaya hivyohivyo, ni bora mimi Lusinde ambae niko wazi na siwezi kuacha.
Pia, soma=> Zitto: Wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato, alikuwa Rais fisadi zaidi kuwahi kutokea Tanzania