Nimebaki njia panda ,ni pm nimfahamuSikubishii wala kuhoji sana chanzo chako cha habari, ninaamini 100%.
Kwani nani si mwizi CCM?Hilo limembe nalo si jizi tu.
Gwajima.Kwani nani si mwizi CCM?
Bwege mmoja hivi drs 7 failure libunge feki la jimbo la mvumiKibajaji ndiye nani we gringo?
Acha utani mkaldayo. Unataka kusema humjui? Ni mbunge wa mtera aliyeshtua taifa kwa kumuangusha samwel John malechela kwenye kura za maoni 2010.Kibajaji ndiye nani we gringo?
Inaonekana unawajua wezi sana, ila ajabu anaekuibia mkeo hujaweza kumjua hadi leoHilo limembe nalo si jizi tu.
Kama wewe ni mfuatiliaji ama mtazamaji wa vipindi vya Bunge, ni yule mbunge mmoja msemaji sana wa jimbo la Mtera kwa mzee Malecela huko.Nimebaki njia panda ,ni pm nimfahamu