Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,361
- 2,378
Kuna kila dalili za Raisi Kibaki kuendelea kuwepo madarakani kwa muda mrefu kufuatia hali inayoendelea nchini Kenya.kwa Raila kukataa matokeo na huenda jumatatu akatika katiakaSupreme Court basi huenda mshindi asiapishwe na kufuatiwa na uskilizaji wa rufaa ambonsi chini ya miezi miwili..tusubiri