Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali inachunguza uhalali wa aliyekuwa Rais wa tafa hilo, Mwai Kibaki kutumia madaraka yake kuwazawadia ufadhili wa masomo ughaibuni wajukuu zake
-
Akiwa mbele ya kamati hiyo aliyekuwa Mkuu wa Huduma za Umma, Francis Muthaura ametetea kitendo hicho cha Kibaki kwa kusema Kibaki alikuwa akijaribu kumsaidia ndugu yake, Philip Githinji aliyepoteza kazi katika Kampuni ya Oil Libya
-
Vijana wawili Ian Nderitu na Sandra Njeri walipelekwa kusoma fani ya Uhandisi na Unasifu Majengo katika Taasisi ya Teknolojia ya Royal Melbourne nchini Australia kwa kutumia kodi la Wananchi
-
Kamati hiyo ya Bunge imesema kuwa ufadhili huo ulikuwa mkubwa sana kwakuwa wawili hao waliendelea na Shahada ya Uzamili baada ya kumaliza Shahada yao ya kwanza
-
Mmoja wa Wanakati amesema kuwa kiongozi akitaka kuwasaidia ndugu zake anapaswa kutumia pesa zake na sio za umma
======
The National Assembly Public Accounts Committee is looking into why the former President Mwai Kibaki used his influence to secure relatively expensive scholarships for his grand children.
Appearing before the committee on Monday, Former Head of Public Service Francis Muthaura defended Kibaki who gave his two grandchildren scholarships at the Royal Melbourne Institute of Technology in Australia.
Muthaura said that the former head of state was trying to help his nephew, Philip Githinji after losing his job with Oil Libya.
Githinji’s kids; Ian Nderitu and Sandra Njeri were studying Engineering and Architecture courses at the institution.
“The President wrote to me on this matter and he later varied his earlier communication verbally to have the second student included. I knew Githinji as a nephew to the former President,” Muthaura told the Opiyo Wandayi led committee.
The committee also heard that the amount of money used was high because the two proceeded to take a second degree right after completing the first one.
But the committee members questioned why the retired president used money from the public coffers to help his struggling relatives.
“We assist our extended family through our own pockets but not from public coffers,” Rarieda MP Otiende Amollo stated.
Former Higher Education PS Crispus Kiamba after receiving a letter from Kibaki’s private secretary Nick Wanjohi after which the ministry approved the scholarships.
Source: Kahawa Tungu
-
Akiwa mbele ya kamati hiyo aliyekuwa Mkuu wa Huduma za Umma, Francis Muthaura ametetea kitendo hicho cha Kibaki kwa kusema Kibaki alikuwa akijaribu kumsaidia ndugu yake, Philip Githinji aliyepoteza kazi katika Kampuni ya Oil Libya
-
Vijana wawili Ian Nderitu na Sandra Njeri walipelekwa kusoma fani ya Uhandisi na Unasifu Majengo katika Taasisi ya Teknolojia ya Royal Melbourne nchini Australia kwa kutumia kodi la Wananchi
-
Kamati hiyo ya Bunge imesema kuwa ufadhili huo ulikuwa mkubwa sana kwakuwa wawili hao waliendelea na Shahada ya Uzamili baada ya kumaliza Shahada yao ya kwanza
-
Mmoja wa Wanakati amesema kuwa kiongozi akitaka kuwasaidia ndugu zake anapaswa kutumia pesa zake na sio za umma
======
The National Assembly Public Accounts Committee is looking into why the former President Mwai Kibaki used his influence to secure relatively expensive scholarships for his grand children.
Appearing before the committee on Monday, Former Head of Public Service Francis Muthaura defended Kibaki who gave his two grandchildren scholarships at the Royal Melbourne Institute of Technology in Australia.
Muthaura said that the former head of state was trying to help his nephew, Philip Githinji after losing his job with Oil Libya.
Githinji’s kids; Ian Nderitu and Sandra Njeri were studying Engineering and Architecture courses at the institution.
“The President wrote to me on this matter and he later varied his earlier communication verbally to have the second student included. I knew Githinji as a nephew to the former President,” Muthaura told the Opiyo Wandayi led committee.
The committee also heard that the amount of money used was high because the two proceeded to take a second degree right after completing the first one.
But the committee members questioned why the retired president used money from the public coffers to help his struggling relatives.
“We assist our extended family through our own pockets but not from public coffers,” Rarieda MP Otiende Amollo stated.
Former Higher Education PS Crispus Kiamba after receiving a letter from Kibaki’s private secretary Nick Wanjohi after which the ministry approved the scholarships.
Source: Kahawa Tungu