Kibali cha biashara ya mazao ya Maliasili (Mkaa, Asali, Mbao) mkoa wa Tabora

Kibali cha biashara ya mazao ya Maliasili (Mkaa, Asali, Mbao) mkoa wa Tabora

King Mutesa

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
227
Reaction score
141
Habari Wajasiriamali..!?

Napenda kufahamu kwa Mtu yoyote mwenye kufahamu kibali cha Mazao ya Maliasili kama vile MKAA na ASALI kinagharimu shingapi katika Mkoa Tajwa hapo juu na Taratibu zake kama inawezekana!


Asanteni..!
 
ni aibu kwa nchi ya tanzania kuigeuza asali mali asili angali ni zao la chakula
 
Back
Top Bottom