King Mutesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 227
- 141
Habari Wajasiriamali..!?
Napenda kufahamu kwa Mtu yoyote mwenye kufahamu kibali cha Mazao ya Maliasili kama vile MKAA na ASALI kinagharimu shingapi katika Mkoa Tajwa hapo juu na Taratibu zake kama inawezekana!
Asanteni..!
Napenda kufahamu kwa Mtu yoyote mwenye kufahamu kibali cha Mazao ya Maliasili kama vile MKAA na ASALI kinagharimu shingapi katika Mkoa Tajwa hapo juu na Taratibu zake kama inawezekana!
Asanteni..!