Siku hizi mchakato ni mgumu sanahabari wana jamii...
Naomba msaada jinsi ya kupata kibari cha kutoa tiba mbadala au taratibu za kufuata ili kufungua helbal clinic........pia naomba mwenye website ya baraza la tiba asili na tiba mbadala anisaidie.
natanguliza shukurani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishapata kibali cha kutoa tiba mbadala achana na maswala ya utapeli ndugu yangu...utakuja kuishia pabayahabari wana jamii...
Naomba msaada jinsi ya kupata kibari cha kutoa tiba mbadala au taratibu za kufuata ili kufungua helbal clinic........pia naomba mwenye website ya baraza la tiba asili na tiba mbadala anisaidie.
natanguliza shukurani
Sent using Jamii Forums mobile app