genious wa kijiji
Senior Member
- May 1, 2014
- 173
- 249
Ondoa aibu usoni, nenda kawaone wataalamu wa afya hospitalini,Yaezekana ndo ulivo zaliwa nacho hicho kibamia, hivyo kula vyakula vyenye nguvu, punguza pombe kama wewe ni mtumiaji,then ongeza juhudi za mbwe mbwe ukiwa kitandani.(ujuzi) Na uache puli itakula kwako usipokua makini..
Hivi kumbe hili tango langu deal eheeh..[emoji12] [emoji12] [emoji12]Kama unaona aibu ukimaliza tu unajifunika shuka chap chap
LikwapiHivi kumbe hili tango langu deal eheeh..[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Dada inabid uwe kungwi nikitaka kuoa.. Umetisha aisee[emoji16][emoji16]Kuna recipe na mapishi ya bamia mbali mbali na hunoga sana kwa mlaji. Hadi juice ya bamia ipo........
Hapo unahitaji ujuzi tuu, siku hizi kila kitu ni mali ghafi hakuna taka, ulichonacho unaji - upgrade unajisosomola na wewe sio kuona ndo mwisho wa dunia.
Kuna somo na darasa la kutumia na kuandaa mapishi ya bamia ili mlaji asitamani mihogo matango wala ndizi bukoba.
Uamuzi ni wako....... kujifunza kupika au kwenda kukombelezea mboga kwa jirani uzidi kusimangwa.
Kasie.
njoo kwangu ntakiamsha hata goli 3.... kilale kwanini?Nikimalizaga goli la kwanza kibamia kinakuwa legelege sana. Mtalimbo unalala doro hadi naona aibu mbele ya mkunwaji. Nahisi ni kutokana na kupiga puli kwa muda mrefu.
Nifanyeje jamani.
Ninalo hapa bonge la cucumber[emoji6] [emoji6] rLikwapi
haya malupyee kila muda yanawaona wenzako wanakosea. yenyewe yanajikuta miungu watu .huwa tunayaacha tu yalivyoMachadema kila saa yanawaza ngono tu
nipe mbinu za kukiamsha kilicholala mimi mwenyewe. ili baadaye jioni akanikome mchepukonjoo kwangu ntakiamsha hata goli 3.... kilale kwanini?
USHAHARIBU DAWA KIJAANAnipe mbinu za kukiamsha kilicholala mimi mwenyewe. ili baadaye jioni akanikome mchepuko
wewe mbna hukitaki kibamia changu unatafuta matango tu. hayo sio mazuri yanaongeza diameter yako baada ya muda unakuwa rambo afu miwa inaanza kukosa utamuLikwapi