Kibanda cha mlinzi gharama yake ni Tsh Milioni 11

Kibanda cha mlinzi gharama yake ni Tsh Milioni 11

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Viongozi wanapiga pesa kibanda hicho hakiwezi kufika hata Shilingi Milioni 4 Looohh Majangaa kweli. Ama kweli Kazi iendelee........Hongera Mama Rais.


KIBANDA CHA  SHILINGI MILLIONI 11.jpg
 
Mikwara ya PM tu, kibanda cha mlinzi tanesco alikuta gharama M17 na alipiga mkwara hivyohivyo ila hadi leo hakuna aliyewajibishwa
 
Ila binadamu sijui tumeumbwaje yaani. We mzee unavyowapiga watu na bei ya midawa Yako unaona sawa kabisa unashangaa bei ya hiki kibanda kuongezwa ( kama ni kweli)

We unaona mabei Yako ni sawa kabisa?
 
Ila binadamu sijui tumeumbwaje yaani. We mzee unavyowapiga watu na bei ya midawa Yako unaona sawa kabisa unashangaa bei ya hiki kinanda kuongezwa ( kama ni kweli)

We unaona mabei Yako ni sawa kabisa?
Hakuna kitu muhimu kw abinadamu kama ni uzima wa Afya huwezi kuupata hospitali hata uwe Milionea au Bilionea .Uzima kitu muhimu sana. Pesa na Uzima bora nini?
 
Back
Top Bottom