francis kibiki
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 477
- 516
Mkuu Apo tusidanganyane aiseee Barca hamuachi mtu salamaUzuri wa mpila unachezwa uwanjani dakika tisini na siyo mdomoni au kwenye keyboards.
Kama ingekuwa matokea yanapangwa kwa matakwa ya mashabiki wa timu Fulani basi hakuna timu ingefungwa duniani.maana mashabiki siku zote wanataka timu yao ishinde ..so hata nyinyi mashabiki wa humu ni hali yenu kusema Barca atapita maana hamuwezi kusema kinyume.
Ila hiyo mechi si rahisi kama m unavyodhani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Barça msijidanganye hajachukua UEFA kitambo hivyo hamtabaki salama Man Utd kama Ferguson alitetemeka Ole Sendeka atacheza kwangwaruUzuri wa mpila unachezwa uwanjani dakika tisini na siyo mdomoni au kwenye keyboards.
Kama ingekuwa matokea yanapangwa kwa matakwa ya mashabiki wa timu Fulani basi hakuna timu ingefungwa duniani.maana mashabiki siku zote wanataka timu yao ishinde ..so hata nyinyi mashabiki wa humu ni hali yenu kusema Barca atapita maana hamuwezi kusema kinyume.
Ila hiyo mechi si rahisi kama m unavyodhani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni mpira..........ila United outUzuri wa mpila unachezwa uwanjani dakika tisini na siyo mdomoni au kwenye keyboards.
Kama ingekuwa matokea yanapangwa kwa matakwa ya mashabiki wa timu Fulani basi hakuna timu ingefungwa duniani.maana mashabiki siku zote wanataka timu yao ishinde ..so hata nyinyi mashabiki wa humu ni hali yenu kusema Barca atapita maana hamuwezi kusema kinyume.
Ila hiyo mechi si rahisi kama m unavyodhani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mark my words, Barcelona inatolewa na man utd.Kwa Barça msijidanganye hajachukua UEFA kitambo hivyo hamtabaki salama Man Utd kama Ferguson alitetemeka Ole Sendeka atacheza kwangwaru
Sent using Jamii Forums mobile app