INAUZWA Kibanda maalum kwa kuuzia nguo, kina matairi

INAUZWA Kibanda maalum kwa kuuzia nguo, kina matairi

MGODOLO

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2020
Posts
209
Reaction score
174
Kibanda mkokoteni, maalumu kwa kuuzia nguo.

Kinauzwa, bei poa na ni tofauti na mikokoteni yote (karibu) +255755360768 location:- arusha

sifa za kibanda hiki;

Kwanza kabisa kibanda hiki hakipo sehemu nyingine yeyote ile tanzania, kipo Arusha na ni kimoja tu. pia ukitaka kutengenezewa chako tutafute kwa namba hio.

(1) Ukinunua kibanda hiki, utapewa na nguo zote ulizo zikuta ndani ya kibanda hiki (nguo zinazouzwa hapa ni Kadeti na Jinsi, ila utaamua wewe, ni aina gani ya nguo utauza).

(2) Kibanda hiki kina matairi kama tunavyo kiona, Ila kinatembea kwa mfumo wa kusukuma

(3). Kibanda hiki Kina uwezo wa kubeba Beli mbili za nguo,(Beli zenye Pcs 100) (kama una nguvu za kusukuma beli zote).

(4) Kibanda hiki kina uwezo wa kufunguka pande zote mbili, yaani unaweza kukifungua vile upendavyo, kwa kuangalia ni upande gani watu wengi hupita.

(5) Kibanda hiki kina makabati mawili, katikati yake, juu na chini, ila kwa mimi kabati la chini nimelifanya stoo ya kuwekea zana, (kama vile maturubai).

(6) Kibanda hiki kina pande mbili, na kila upande, unaweza kupanga Suruali 32, Jumla ya pende zote utapanga suruali 64.

(7) Kibanda hiki kina bomba za pembeni mbili mbili kila upande kwa lengo la kuweka henga, bomba hizo zinachomoka, na zina matundu kwa lengo kuwekea henga.

(8) Unaweza kukata kona kwa kutumia stelingi ya gari, kama unavyo iona, lakini pia unaweza kutoa stelingi kisha ukatumia Tairi ndogo, zinakata kona zenyewe.

(9) Kibanda hiki, kina Turubai lake Original (Ambalo unaweza kufunika baada ya kufunga kazi, Mvua ije na mama yake hutokuta nguo ilio loana).

(10) Kibanda hiki, hakina kipengele cha tatizo lolote, Nakiuza kwa shida zangu binafsi.

Napatikana Arusha, Sinoni... bei mil. 1 maongezi yapo.

Simu moja tu, tunakutana na kufanya biashara 0755360768.

karibuni wote, bado kipo.

Goli%20duka%20mitumba%20sinoni%20mkokoteni%20Kacart.jpg
Kacart%20Mkokoteni%20baiskeli%20ya%20kuuzia%20nguo%20mitumba%20mtumba%202.jpg
Kacart%20likiwa%20kazini%20mkokoteni%20kibanda%20full%20duka.jpg
Kacart%20likiwa%20kazini%20mkokoteni%20kibanda%20Full%20dukani.jpg
Kacart%20likiwa%20kazini%20mkokoteni%20kibanda%20Mezani%203%20Upana.jpg
Kacart%20likiwa%20kazini%20mkokoteni%20kibanda%20bomba%20mbili%20za%20henga%202.jpg
Kacart%20likiwa%20kazini%20mkokoteni%20kibanda%20Mezani%201.jpg
Kacart%20with%20turubai%20mkokoteni%20kibanda%20mbele.jpg
Kacart%20with%20turubai%20mkokoteni%20kibanda%20ubavuni.jpg
IMG_20230122_143134%20Kacart%20mkokoteni%20baiskeli%20ya%20kuuzia%20nguo%20mitumba%20mtumba.jpg
IMG_20230122_142830%20Kacart%20mkokoteni%20baiskeli%20ya%20kuuzia%20nguo%20mitumba%20mtumba.jpg
IMG_20230122_142645%20Kacart%20mkokoteni%20baiskeli%20ya%20kuuzia%20nguo%20mitumba%20mtumba.jpg


Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Bado kipo jamani karibuni sana
 
KIBANDA MKOKOTENI, MAALUMU KWA KUUZIA NGUO

KINAUZWA, BEI POA NA NI TOFAUTI NA MIKOKOTENI YOTE (KARIBU) +255755360768 LOCATION:- ARUSHA


SIFA ZA KIBANDA HIKI

KWANZA KABISA KIBANDA HIKI HAKIPO SEHEMU NYINGINE YEYOTE ILE TANZANIA, KIPO ARUSHA NA NI KIMOJA TU. (Pia ukitaka kutengenezewa chako tutafute kwa namba hio)


(1). Ukinunua kibanda hiki, utapewa na nguo zote ulizo zikuta ndani ya kibanda hiki (nguo zinazouzwa hapa ni Kadeti na Jinsi, ila utaamua wewe, ni aina gani ya nguo utauza)

(2). Kibanda hiki kina matairi kama tunavyo kiona, Ila kinatembea kwa mfumo wa kusukuma

(3). Kibanda hiki Kina uwezo wa kubeba Beli mbili za nguo,(Beli zenye Pcs 100) (kama una nguvu za kusukuma beli zote)

(4). Kibanda hiki kina uwezo wa kufunguka pande zote mbili, yaani unaweza kukifungua vile upendavyo, kwa kuangalia ni upande gani watu wengi hupita

(5). Kibanda hiki kina makabati mawili, katikati yake, juu na chini, ila kwa mimi kabati la chini nimelifanya stoo ya kuwekea zana, (kama vile maturubai)

(6). Kibanda hiki kina pande mbili, na kila upande, unaweza kupanga Suruali 32, Jumla ya pende zote utapanga suruali 64

(7). Kibanda hiki kina bomba za pembeni mbili mbili kila upande kwa lengo la kuweka henga, bomba hizo zinachomoka, na zina matundu kwa lengo kuwekea henga

(8). Unaweza kukata kona kwa kutumia stelingi ya gari, kama unavyo iona, lakini pia unaweza kutoa stelingi kisha ukatumia Tairi ndogo, zinakata kona zenyewe

(9). Kibanda hiki, kina Turubai lake Original (Ambalo unaweza kufunika baada ya kufunga kazi, Mvua ije na mama yake hutokuta nguo ilio loana)

(10). Kibanda hiki, hakina kipengele cha tatizo lolote, Nakiuza kwa shida zangu binafsi


NAPATIKANA ARUSHA, SINONI... BEI ML1 MAONGEZI YAPO

SIMU MOJA TU, TUNAKUTANA NA KUFANYA BIASHARA 0755360768

KARIBUNI WOTE... BADO KIPO
Goli%20duka%20mitumba%20sinoni%20mkokoteni%20Kacart.jpg
Kacart%20with%20turubai%20mkokoteni%20kibanda%20mbele.jpg
Kacart%20with%20turubai%20mkokoteni%20kibanda%20ubavuni.jpg
Kacart%20likiwa%20kazini%20mkokoteni%20kibanda%20bomba%20mbili%20za%20henga%202.jpg
Kacart%20likiwa%20kazini%20mkokoteni%20kibanda%20Mezani%203%20Upana.jpg
Kacart%20likiwa%20kazini%20mkokoteni%20kibanda%20full%20duka.jpg
Kacart%20likiwa%20kazini%20mkokoteni%20kibanda%20Full%20dukani.jpg
Kacart%20Mkokoteni%20baiskeli%20ya%20kuuzia%20nguo%20mitumba%20mtumba%202.jpg
IMG_20230122_143134%20Kacart%20mkokoteni%20baiskeli%20ya%20kuuzia%20nguo%20mitumba%20mtumba.jpg
IMG_20230122_142830%20Kacart%20mkokoteni%20baiskeli%20ya%20kuuzia%20nguo%20mitumba%20mtumba.jpg
IMG_20230122_142645%20Kacart%20mkokoteni%20baiskeli%20ya%20kuuzia%20nguo%20mitumba%20mtumba.jpg
 
Jamani wale wafanya biashara, kibanda ndio hiki sasa
 
Kibanda hiki kinauzwa kwa bei poa sana, Awali kilikua wazi, ila kutokana na mvua ama jua kuathiri bidhaa, sasa kimeboreshwa zaidi, bidhaa zitakua salama wakati wa jua na hata mvua, Bati jipyaaaaaaa kama inavyo ona...

Bei ml 1.8 maongezi yapo, Wahi sasa popote utatumiwa, ama njoo ukikague

Location:- Arusha
Phone number +2555755360768

Karibuni sana.
IMG_20230429_122416.jpg
IMG_20230429_115143.jpg
IMG_20230429_115128.jpg
IMG_20230429_115053.jpg
IMG_20230429_114930.jpg
IMG_20230429_114906.jpg
IMG_20230428_110857.jpg
IMG_20230428_110840.jpg


Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom