Kibatala azungumzia kukamatwa ofisa TRC aliyepinga tozo

Kwanini umkamate mtu tu Kama vile unamteka?...mwingine anaweza hata kukataa kukamatwa na kukudhuru hata kwa bastola maana sasa Kama hujitambulishi Kama inavyopaswa unategemea Nini.
Kibongobongo hadi mtu mmoja aje awatenganishe mikono ndo watajua kufuata taratibu... ikibidi hata tuition ya PGO watafanya ila ndo hadi wapigwe tukio!!!
 
Utawala wa dhuluma, vitisho, visasi, usengenyaji na uonevu uliopitiliza
Ni kweli tozo zilianzishwa kipindi hicho lakini ilikuwa kwa staha na endapo mwananchi alipolalamika JPM ailijitokeza na kuagiza marekebisho na yalionekana sio sasa zimeongezwe TOZO ndani TOZO hivyo hakuna matinki yoyote ya kipato kukabiliana na gharama za maisha ambazo zinapaa kila kukicha

Pili, nampongeza wakili Peter Kibatala kwa kuzingatia matakwa ya taaluma ya sheria ya kutojali maslahi binafsi mpaka yule ambaye ametendewa isivyo haki yake imepatikana kwa mjibu wa sheria 'He is a hero for struggling for justice delivery to those humiliated'.

Serikali inataka kumziba mdomo aliyejitoa mhanga kuweka bayana athari ya tozo zisizozingatia haki za binadamu na ustawi wa jamii pamoja na sheria za kimataifa; hata hivyo waliomkamata kwa malekezo kutoka kwa mtu yeyote kunaipeleka Tanzania na utawala wake kwenye mgogoro ambao hautasuluhishwa na walikoko madarakani ila Mungu ataingilia kati na adhabu ataitoa dhidi mtenda isvyo kwa haki.

#AchiliaAfumwisye
 

JPM ni zama iliyokwisha pita ambayo kila mtu anaweza kuwa na maoni yake tofauti yakiwamo ya wasiojulikana. Hata hivyo yaliyopita si ndwele:

"Waliojinadi kuwa Serikali Sikivu wamethibika kuwa Viziwi"

Tushindwe kuganga yaliyopo na yajayo?
 
Watendaji wa Samia bado wanatenda ya Magufuli, SHIDA KUBWA
Magufuli hakuleta matozo kama ya shangazi yako,magufuli mchele tulinunua kg 900 hatujawai nunua 2400,kumfananisha jpm na huyu shangazi yako ni kumkosea heshima marehemu.
 
Reactions: nao
Msisahau DCI ni nani msije sema hamkuambiwa
 
Nimeona PGO imekuja tena.
 
Tozo ni kwa maendeleo ya jamiii lazima tutoe tozo ili Tanzania tujitegemee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…