Wakili Peter Kibatala ameweka wazi nini maana ya mtu kusimama na anachokiamini:
Wako wapi kina Kabudi na kina Pole pole wa tume ya Warioba? Yuko wapi Bashiru wa kabla ya kuteuliwa?
Uzalendo wa ndugu hawa ni kwenye matumbo yao tu?
Baba wa Taifa mwalimu Nyerere (rip) aliwaona vyema watu kama hawa.
Kingunge aliyeandika katiba 1977 akiwa na kina Msekwa aliyasema haya:
Profesa Kabudi, Bashiru, Pole pole na wa aina zenu tunawaelewa sana, yaani kuliko ya sana.
Au nasema uongo ndugu Pascal Mayalla na wapambanaji wenzangu?
Wako wapi kina Kabudi na kina Pole pole wa tume ya Warioba? Yuko wapi Bashiru wa kabla ya kuteuliwa?
Uzalendo wa ndugu hawa ni kwenye matumbo yao tu?
Baba wa Taifa mwalimu Nyerere (rip) aliwaona vyema watu kama hawa.
Kingunge aliyeandika katiba 1977 akiwa na kina Msekwa aliyasema haya:
Profesa Kabudi, Bashiru, Pole pole na wa aina zenu tunawaelewa sana, yaani kuliko ya sana.
Au nasema uongo ndugu Pascal Mayalla na wapambanaji wenzangu?