Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Sasa uislamu hiyo dini ya juzijuzi unahusika nini na huu uzi?Au unawaza sharia?Soma Uislam kijana, soma kuhusu "Israa".
Labda utaelewa kuwa Uislam ni mwema sana na haujaachaa kitu.
Hapo ndipo huwa siwashangai kondoo.
"teleportation" inahusika nini na huu uzi?Sasa uislamu hiyo dini ya juzijuzi unahusika nini na huu uzi?Au unawaza sharia?
Akili yako kusafirishwa itumike kwa kadiri ya mahitaji na kurudishiwa ukiwa umebung'aa."teleportation" inahusika nini na huu uzi?
Sema Uislam ni dini pekee duniani.
Kitabala alifaa awe ndiyo Mwanasheria mkuu wa serikali kuliko hizi takataka tulizo nazo serikaliniSehemu ya mahojiano ya Wakili Msomi Peter Kibatala na Mkuu wa upelelezi Mkoa wa kipolisi Kinondoni, SSP Gerald Ngichi kuhusu kesi nambari 112 ya Mwaka 2018 iliyowahusu Freeman Mbowe na wenzake.
KIBATALA: Umesema Freeman Mbowe aliondolewa kwenye Mkutano na walinzi wake?
SSP Ngichi: Ndio
KIBATALA: Unawajua walinzi wa Mbowe?
SSP Ngichi: Siwafahamu.
KIBATALA: Sasa uliwezaje kuwatambua kuwa ni walinzi wake?
SSP Ngichi: Walikuwa wakimsaidia
KIBATALA: Kwahiyo kila anayemsaidia Mbowe ni mlinzi wake?
SSP Ngichi: Kimya.
KIBATALA: Mbowe alisema hatupaswi kuona kawaida wenzetu kunyongwa hadi kuuawa. Je unajua alikua anamaanisha nini?
SSP Ngichi: Hapana
KIBATALA: Kwahiyo Mbowe yupo sahihi?
SSP Ngichi: kimya
KIBATALA: Umesema Mbowe alisema kuwa haiwezekani wanaume wazima kama sisi tugeuzwe mandondocha. Je kuna tatizo gani kwenye maneno hayo?
SSP Ngichi: Huo ni uchochezi
KIBATALA: Wewe ni mwanaume au mwanamke?
SSP Ngichi: Mwanaume?
KIBATALA: Je uko tayari kugeuzwa ndondocha?
SSP Ngichi: Hapana
KIBATALA: Kwahiyo Mbowe yupo sahihi?
SSP Ngichi: Kimya
KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Jacob Zuma alilazimishwa kujiuzulu. Je ni kweli au si kweli?
SSP Ngichi: Sifahamu
KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Mugabe aling'olewa madarakani. Je ni kweli Mugabe aling'olewa au hakung'olewa?
SSP Ngichi: Sijui
KIBATALA: Unawezaje kufungua mashtaka kwa mambo ambayo hata wewe hujui?
SSP Ngichi: Sifuatilii vyombo vya habari.
KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Rais Magufuli ni Mwepesi kama Karatasi?
SSP Ngichi: Ndio
KIBATALA: Maneno hayo yana shida gani?
SSP Ngichi: Magufuli sio mwepesi kama karatasi
KIBATALA: Wewe unaufahamu uzito wa Magufuli?
SSP Ngichi: Magufuli yupi?
KIBATALA: Magufuli aliyeandikwa kwenye hati ya Mashtaka
SSP Ngichi: Simjui
KIBATALA: Kwahiyo kwenye hati ya mashtaka mmeandika watu msiowafahamu?
SSP Ngichi: Aulizwe askari aliyeandika hiyo hati
KIBATALA: Kama wewe humfahamu kwanini unakataa kuwa si mwepesi kama karatasi?
SSP Ngichi: Kimya
Umeanza wewe ajuza"teleportation" inahusika nini na huu uzi?
Sema Uislam ni dini pekee duniani.
Kibatala ni hatari sn kwenye sheriaAlimpatia alipomuuliza, 'wewe Ni mwanaume au mwanamke'
Dogo hakujua Kuna kitu mbele ....
Mgomvi huyo balaa.Anatafuta namna amvae mleta uzi kwa kumvizia.Hana lolote.😎Umeanza wewe ajuza
Namjua vizuri sn ndiyo maana namtafutaMgomvi huyo balaa.Anatafuta amvae mleta uzi kwa kumvizia.Hana lolote.😎
Lazima tuwape darsa kondoo.Umeanza wewe ajuza
We ajuza ni mkorofi snLazima tuwape darsa kondoo.
Lete darsa mama kondoo mwandamizi.🙏😎Lazima tuwape darsa kondoo.
Unajitekenya mwenyewe, tafuta wa kukutekenya.Mgomvi huyo balaa.Anatafuta namna amvae mleta uzi kwa kumvizia.Hana lolote.😎
Hayo unasema wewe.We ajuza ni mkorofi sn
Hivi mahakamani jamaa akikuuliza maswali ya kijinga na wewe ukamjibu akamwulize mamake inakuwaj
Nakujua snHayo unasema wewe.
Acha kisirani wewe.Kwani wamekuzidishia pilipili manga kwenye ugali?Unajitekenya mwenyewe, tafuta wa kukutekenya.
Wewe unateswa na vitu viwili uzanzibar na udini, kama kweli ulikuwa Naibu Mwanasheria mkuu basi nchi yetu ni ya kijinga sn.Unajitekenya mwenyewe, tafuta wa kukutekenya.
Huyu ajuza ni mgomvi snAcha kisirani wewe.Kwani wamekuzidishia pilipili manga kwenye ugali?
Ni vyema sana, hakuna kosa kujulikana.Nakujua sn
Ulitaka niteswe na upagani?Wewe unateswa na vitu viwili uzanzibar na udini, kama kweli ulikuwa Naibu Mwanasheria mkuu basi nchi yetu ni ya kijinga sn.