Kibatala tena

Kutetea uongo na dhuluma ni kazi ngumu sana🤣🤣 . Haswa ukikutana na Wakili msomi, Kibatala ni Bora sana. Lakini na yeye wakati chadema Ina migogoro na ZZK alikutana na Wakili msomi mwenzake joto aliliona. 🤣🤣
 
Duh!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Hiyo afande hatotamani tena kukutana na Kibatala
 
kigezo cha askari si kilekile div IV failure au wamebadili?, kule hawatumii sana akili...ni nguvu tu, mambo ya kutumia akili hawahusiki nayo...mnawaonea huko mahakamani
 
kigezo cha askari si kilekile div IV failure au wamebadili?, kule hawatumii sana akili...ni nguvu tu, mambo ya kutumia akili hawahusiki nayo...mnawaonea huko mahakamani
Upolisi ni losers job
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…