KIBAYA ZAIDI:

KIBAYA ZAIDI:

Captain Doug

Member
Joined
Jul 24, 2015
Posts
60
Reaction score
20
kibaya zaid ni pale ambapo mtu kajikunja kuandaa post aweke humu jf hasa kwenye hili jukwaa akijua watu watacheka na kureply lakini wapi wajanja wanatoa view kibao, reply 0...nahisi hata hii imebuma
 
Sio kosa lako, inaonekana umejiunga JF sio muda mrefu
 
Sio kosa lako, inaonekana umejiunga JF sio muda mrefu
huhuhuh Mr.poppah insonekana imekugusa sana...mada zako zinatupagwa kapuni sana nini?.Unaweza kunambia uhusiano wa kilichoandikwa na kujiunga jana...futa povu Mr have funny
 
Back
Top Bottom