kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,060
Kweli mkuu.Barca hauwezi kupita na mwisho wao ni Leo. Juve sio PSG.
Nou Camp hawataki tena kukisikia Kibibi Kizee.
Hii ni mara nyingine Nou Camp inakaa kimya pale Kibibi akitua zake Catalunya.
Mara ya mwisho ilikuwa 2003 au 2002 nadhani,Barca alitoka droo Italia,akaja kupigwa Nou Camp.
Safari hii kapigwa Italia,katoa droo Nou Camp!
Jamaa wanamchezea sharubu wanavyopenda.
Who is next?Waspaniola tumbo joto,ni lazima kuna victim mwingine wa bakora za Kibibi ndani ya Spain.