Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Kazi kweli kweliHiyo mbona sio kibiblia. Hata kisayansi ndio hivyo sijui nyie kwenye mitishamba mnalichukuliaje hilo.
Oeni wake wa watuSasa itakuwaje?
Kwa hiyo sasa kweli tutaoa au ndio tuendelee kupiga nyeto
Amen mtumishiNa niongezee hapo, hiichi kitu wengi hawajui ni kuhusu agano la damu ya bikira, mtu mume ukimtoa mwanamke bikira ilo agano limeisha huyo ndio mkewe wa roho na mwili, akipata tabu huyu mwanamke hata kama waliachana miaka mingi mtu mume huko aliko lazima nae yamkute.
Wa kupiga nyeto weweKwa hiyo sasa kweli tutaoa au ndio tuendelee kupiga nyeto
Kwa hiyo nyie mnaendelea kusasambua breki pumbuzWa kupiga nyeto wewe
Wenyewe watakuwa wanawakamua kimyakimyaOeni wake wa watu
Kumbe Sasa Kama umetoa bikra saba☹️
Wote saba wake zako hao!!Kumbe Sasa Kama umetoa bikra saba[emoji3525]