Kibiti: Rais Magufuli aamuru gari la Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ligeuzwe kuwa ambulance

Kibiti: Rais Magufuli aamuru gari la Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ligeuzwe kuwa ambulance

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798


Rais Magufuli akiwa Ikwiriri wakati akitoka kwenye Mazishi ya Mzee Mkapa, baada ya kusikiliza kero za wanaikwiriri hususani suala zima la afya ameamuru gari la Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ligeuzwe kuwa ambulance mpaka hapo halmashauri hiyo itakapopata machungu na kutengeneza magari ya kubeba wagonjwa yanayodaiwa kuwa mabovu.
 
Rais Magufuli akiwa Ikwiriri wakati akitoka kwenye Mazishi ya Mzee Mkapa, baada ya kusikiliza kero za wanaikwiriri hususani suala zima la afya ameamuru gari la Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ligeuzwe kuwa ambulance mpaka hapo halmashauri hiyo itakapopata machungu na kutengeneza magari ya kubeba wagonjwa yanayodaiwa kuwa mabovu.
Aisee... mambo ni fayaa
 
Ila watu wa huko wanaombaomba hela hadi kero. Nimeangalia "live" yaani wanamchomoa rais bila aibu. Tena wengi vijana wenye nguvu zao kabisa ila midomo tu ndio wanaitumia.
 
Mkurugenzi amenyang'anywa vyanzo vya mapato karibu vyote(kodi ya ardhi, mabango, majengo, parking n.k) na OC hapewi atafanyaje kuhudumia madiwani, walimu uhamisho, umeme, ccm, maji n.k? tuache utani Mkurungezi sasahivi hana tofauti na ofisi ya DAS.
 
Mkurugenzi amenyang'anywa vyanzo vya mapato karibu vyote(kodi ya ardhi, mabango, majengo, parking n.k) na OC hapewi atafanyaje kuhudumia madiwani, walimu uhamisho, umeme, ccm, maji n.k? tuache utani Mkurungezi sasahivi hana tofauti na ofisi ya DAS.
Aache kazi
 


Rais Magufuli akiwa Ikwiriri wakati akitoka kwenye Mazishi ya Mzee Mkapa, baada ya kusikiliza kero za wanaikwiriri hususani suala zima la afya ameamuru gari la Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ligeuzwe kuwa ambulance mpaka hapo halmashauri hiyo itakapopata machungu na kutengeneza magari ya kubeba wagonjwa yanayodaiwa kuwa mabovu.

Ndo maana wanakimbilia ubunge, vyeo vya mateso.

Siku hizi hela yote inaenda mfumo mkuu wa serekali, mpaka itoke ikatengeneze magari ni mlolongo mrefu
 
Back
Top Bottom