Kiboko cha waisrael?

...Kutokana na Wairan, wao wanadai eti mama yake Hitler alikuwa na ujews ndani yake. lol.

Wairan au bibi yake alikuwa anafanya kazi kwa myahudi akabakwa ndio akazaliwa baba yake na hitler.
Kisha akajifanya zaidi ya wajerumani wenyewe... Mshazoea kulana wenyewe kwa wenyewe... DECi type! lol!
 
Wairan au bibi yake alikuwa anafanya kazi kwa myahudi akabakwa ndio akazaliwa baba yake na hitler.
Kisha akajifanya zaidi ya wajerumani wenyewe... Mshazoea kulana wenyewe kwa wenyewe... DECi type! lol!

Hvi wewe unajuwa ulicho andika? Umedai kuwa bibi ya Hitler alilala na wajews, sasa kama bibi ya Hitler ni kutoka Austria, ni kivipi utumie lugha ya wenyewe kwa wenyewe.

Maumivu ya swine flue yana kupandisha mapigo ya damu.
 
Hvi wewe unajuwa ulicho andika? Umedai kuwa bibi ya Hitler alilala na wajews, sasa kama bibi ya Hitler ni kutoka Austria, ni kivipi utumie lugha ya wenyewe kwa wenyewe.

Maumivu ya swine flue yana kupandisha mapigo ya damu.

Ah ah ah ah kaaazi kweli kweli soma tena utaelewa tu.

Nasikia umefanya nyama choma ya swine leo! Kwanini husisubiri ukapona kisha ukaja JF maana leo huna unacho elewa.
 
Ah ah ah ah kaaazi kweli kweli soma tena utaelewa tu.

Nasikia umefanya nyama choma ya swine leo! Kwanini husisubiri ukapona kisha ukaja JF maana leo huna unacho elewa.


Wa Nyu Yoku wanasema wewe ni hard nut to crack. Kesho ntachoma/bbq pork ribs. Karibu.

Au na wewe unafanya kama ndugu zako WAMISRI?
 
Wa Nyu Yoku wanasema wewe ni hard nut to crack. Kesho ntachoma/bbq pork ribs. Karibu.

Au na wewe unafanya kama ndugu zako WAMISRI?

Si unaona sasa tatizo unalitafuta mwenyewe...! Au ukipata swine flu, mmeambiwa mtalipwa?
 
Obama anamwaga vijisenti. Kama unataka nikufedexksie, wewe sema usione haya.

Unajitahidi sana kuzichanga, ushawaramba kondoo wa DECi na bado unanyemelea vijisenti vywa onyango! Hodari!
 
Unajitahidi sana kuzichanga, ushawaramba kondoo wa DECi na bado unanyemelea vijisenti vywa onyango! Hodari!

Onyango anatoa kwa mafisadi wa nbc na benki ya nyumba. Cha muhimu ni kuincorporate ki LLC na kuanza mbele mtaa wa ukuta.
 
Kwa hiyo mmeamuwa kuwafanya kazi wenzenu... kisha shaaa! nyu yok!


Hahaha ahaha ahaha, weye mubaya sana weye.

Mimi ninachojuwa kuwa WAISLAM wanadai kuwa wame DECIWA, sijuwi na nani?
 
Hahaha ahaha ahaha, weye mubaya sana weye.

Mimi ninachojuwa kuwa WAISLAM wanadai kuwa wame DECIWA, sijuwi na nani?

Umedhurumu kondoo wa mwenyewe bwana... umejichimbia nyu-yok. Subiri tu wakufanyie mkesha wa maombi...! Ujui kuwa wengine pale ni sabato masalia...!? oh!
 
Umedhurumu kondoo wa mwenyewe bwana... umejichimbia nyu-yok. Subiri tu wakufanyie mkesha wa maombi...! Ujui kuwa wengine pale ni sabato masalia...!? oh!


Angali jamaa zako wanavyo tumia sharia, na kusahau WAISRAELI. HUU NDIO UTAMADUNI WENU

The Arab League is not involved in mediating between Egypt and Lebanon or Hizbullah, which has been accused by Cairo of setting up a terror cell that plotted attacks on its soil, a spokesman for the organization said Sunday.

On Saturday, Arab League chief Amr Moussa met with Lebanese President Michel Suleiman, Speaker Nabih Berri and Prime Minister Fouad Siniora, raising speculation that the 22-nation organization was actively involved in trying to diffuse escalating tensions over the issue.

"The Arab League has no position on the issue, because it is up to the courts in Egypt; it's a court issue," spokesman Abdel Alim al-Abayad told The Jerusalem Post on Sunday. "We are not involved in any mediation, because it is a juridical matter and it's in front of the Egyptian courts."
 

Mbona unachanganya mambo kaka...!? Ushasema Arab League... Mimi na Arab League wapi na wapi!?
 
Mbona unachanganya mambo kaka...!? Ushasema Arab League... Mimi na Arab League wapi na wapi!?

Mbona unawakana kaka zako? Hivi hujuwi Uislam na Uarabu ni sawa na Mume na mke?

mpaka hapo umeona na umekubari kuwa Yesu pekee ndie atatimiza sasa kama umetwambia hivyo muhamad amekuja kufanyanini mbona unatuchanganyia madesa kaka.


Sinza JJ












Lakini watu wanasema mbaya wa sura tu ila ni mtamu mno.
 
Jee hii ni kweli?
 
Jee hii ni kweli?

Mkuu,hiyo stori uwezekano wa kuwa kweli ni mkubwa sana. Ukiangalia hiyo sababu familia yake iliyoitoa ya kubadili jina haina akili.

Kitambo kidogo nilikuwa naangalia documentary moja ya BBC kuhusu passage ya Wayahudi ktk vitabu vya mwishoni vya Old Testament akina Nabii Esta na stori ya Mordechai et al..masalia ya wale mayahudi hadi leo wapo Iran na wanaendelea na taratibu zao na ni raia wa Iran. Walipohojiwa walidai Ahmedinejad ni kipenzi chao tu na wakati wa sherehe zao kiyahudi huwatuamiaga salamu za kheri na zawadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…