Kiboko ya Karamagi na mrombo Mramba huyu hapa!

minda

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2009
Posts
1,068
Reaction score
67


Mdogo huyu wa uswazi ameonesha ujasiri wa daraja la kwanza pale alipotamka bayana kwenye "Mr President" yake verse ya 3, inter alia:



...Usihangaike kumtafuta Roma…mi!! Hakimu wa getho
Mwenye sauti ya mamlaka!!! iliyomfikisha Mrombo Keko
Baada ya kukemea ufisadi na sera za Karamagi
Na waliokula jasho letu kwenye migodi ya Buzwagi...





my take;

je mchango wa huyu kijana na watanzania wengine wenye malalamiko dhidi ya utendaji wa kazi wa mramba na karamagi umechangia kuanguka kwao kisiasa kwenye uchaguzi 2010?
 
dogo yupo vizuri ile mbaya.......na amegoma nyimbo zake kutumiwa kwenye kampeni bila ridhaa yake!
 
Hivi anajisaidia haja kubwa, suruali imeshuka!
 
je mchango wa huyu kijana na watanzania wengine wenye malalamiko dhidi ya utendaji wa kazi wa mramba na karamagi umechangia kuanguka kwao kisiasa kwenye uchaguzi 2010?
 
Swali ni kwamba Mchango wake, au maoni yake yanathaminiwa na serikali ya Kikwete?
 
Kiufupi namkubali sana Roma, ana mashairi ya 'kukera' wakubwa ile mbaya. Kuna track inaitwa Mr. President, na yenyewe imetulia sana.
 
Sijui nyimbo zake zingine, lakini mr. President naikubali sana.
 
Yes Kijana amefanya kazi kubwa sana. ule wimbo mashairi yake yamesimama vema sana. Ingawa kasi ya ule wimbo ni kubwa sana kiasi cha baadhi ya watu kushindwa kuelewa nini kinaongelea lakini kwa watu makini ujumbe wake ni mkubwa sana. Big up guy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…