Hivi kwanini kina mwamposa hawakamatwi
 
Hawa Manabii na waganga ni matokeo ya mfumo wetu wa huduma za afya kushindwa!

Magonjwa yenye majina ya watu kwenye hospitali zetu utakufa hujui unachoumwa ni ugonjwa gani
 
MASHETANI WAMEIINGILIA DINI YA KIKRISTO NA WANATAKA KUIANGUSHA, NI BUDI WAKRISTO KUSIMAMA IMARA KUISIMAMIA DINI HII, SHETANI APOKONYWE DINI YETU, IRUDISHWE KWENYE MSINGI YAKE MIKUU, THANKS SO MUCH MASAUNI ZIDI KUFUNGIA MATAPELI HAYA, MAJIZI!
Ashakum si matusi, shetani alishaharibu hiyo dini toka ilipotawazwa rasmi kuwa ni dini ya taifa la kirumi, ila hamtaki tu kuuona ukweli! Mnachokijua sasa katika ukristo na Yesu ni kile walichotaka warumi mkijue na kuamini.

Na kama unabisha hebu rejea sababu zilizopelekea kupatikana kwa protestants from the main christian Church (RC). Kuna sababu za kiimani na kuna sababu za kiutawala.
 
Huyo jamaaa asiruhusiwe kuingia tena nchini
Amesha geuza watanzania kama mandondocha na chuma ulete!
SUALA LA KUJIULIZA HUKO KONGO HAKUNA WAJINGA WA KUWAIBIA MPAKA ANGANGANIE TANZANIA, NI VYEMA RECORD YAKE DRC IKAFUATILIWA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…