Pre GE2025 Kiboko ya wachawi anasema mitano kwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
Wapumbavu wote wale

USSR
 
Mm napenda sana hii aina ya utapeli, mtu ameona fursa akaamua kuitumia hy fursa.
Wanyooshe Wanyooshe mkuu
 
Mama ametufikiaa bilaa shakaa na viredio vyakee mitano tenaa🤪🤪🤪
 
Ameshashinda mtihani muhimu kabisa, soon atapatiwa uraia wa tanganyika ili aje kuungana na wenzake akina mwijaku kubeba mbeleko, sijui kwa nini tumekuwa wajinga hivi?
 
Aisee...
Hizi dini hizi. ni furaha kwa wajanja...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…