Kiboko ya wachawi kafanyiwa zengwe. Kama serikali iko serious iwafungie Suguye, Dr. Sule, Mwamposa, mzee wa upako, n.k

Kiboko ya wachawi kafanyiwa zengwe. Kama serikali iko serious iwafungie Suguye, Dr. Sule, Mwamposa, mzee wa upako, n.k

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mimi ni miongoni mwa watu wanaozichukia sana hizi huduma za watu binafsi za kidini. Kama kweli wana hizo nguvu za kuleta utajiri, kuondoa magonjwa n.k basi wote wakusanywe uwanja taifa waombee watanzania wote wawe matajiri na wapone magonjwa yanayowasumbua.

Suguye anakusanya kucha na nywele za utosini akidai anaziombea ili mtu akombolewe kiroho.

Mzee wa upako yeye anakusanya fedha kutoka kwa waumini kwa minajili ya kuwaombea (hao waumini) wapate utajiri.

Mwamposa amechimba kisima cha maji halafu anawauzia waumini maji hayo ambayo si salama, kwa madai kuwa yatawaponya.

Dr. Sule yeye anahubiri kuwa uislam na majini ni damu damu. Na anasema ukiwa ni muislam halafu aukayachukia majini basi wewe siyo muislam.

Wapo akina Masanja Mkandamizaji, Luka Tony, Sophia n.k ambao makanisa yao ni kama majukwaa ya unyago kwa namna yalovyojikita kuhubiri masuala ya mahusiano.

Swali: Huyu kiboko ya wachawi kafanya jambo gani ambalo serikali inaliona ni la ajabu sana kuliko hayo niliyoyaeleza hapo juu? Na je, serikali imeridhia utapeli wa hao wengine kuendelea kufanyika kwa watanzania?

Nimalizie kwa kusema kuiga siyo vibaya. Tuige kwa rais wa Rwanda aliyewafutia vibali watu 600 waliokuwa wakiendesha huduma za kiroho, na kisha kuweka vigezo vigumu kwa mtu kuanzisha kanisa binafsi.

Kama serikali iko serious iyafute makanisa binafsi yote, halafu tuanze upya. Kila anayetaka kuanzisha atoe maelezo ya kina kwann hataki kuchangamana na main churches.

Ni hayo tu.
 
Usijali na Wao watafikiwa wakimaliza mission walio tumwa na serikal
 
IMG-20240722-WA0677.jpg
 
Mimi ni miongoni mwa watu wanaozichukia sana hizi huduma za watu binafsi za kidini. Kama kweli wana hizo nguvu za kuleta utajiri, kuondoa magonjwa n.k basi wote wakusanywe uwanja taifa waombee watanzania wote wawe matajiri na wapone magonjwa yanayowasumbua.

Suguye anakusanya kucha na nywele za utosini akidai anaziombea ili mtu akombolewe kiroho.

Mzee wa upako yeye anakusanya fedha kutoka kwa waumini kwa minajili ya kuwaombea (hao waumini) wapate utajiri.

Mwamposa amechimba kisima cha maji halafu anawauzia waumini maji hayo ambayo si salama, kwa madai kuwa yatawaponya.

Dr. Sule yeye anahubiri kuwa uislam na majini ni damu damu. Na anasema ukiwa ni muislam halafu aukayachukia majini basi wewe siyo muislam.

Wapo akina Masanja Mkandamizaji, Luka Tony, Sophia n.k ambao makanisa yao ni kama majukwaa ya unyago kwa namna yalovyojikita kuhubiri masuala ya mahusiano.

Swali: Huyu kiboko ya wachawi kafanya jambo gani ambalo serikali inaliona ni la ajabu sana kuliko hayo niliyoyaeleza hapo juu? Na je, serikali imeridhia utapeli wa hao wengine kuendelea kufanyika kwa watanzania?

Nimalizie kwa kusema kuiga siyo vibaya. Tuige kwa rais wa Rwanda aliyewafutia vibali watu 600 waliokuwa wakiendesha huduma za kiroho, na kisha kuweka vigezo vigumu kwa mtu kuanzisha kanisa binafsi.

Kama serikali iko serious iyafute makanisa binafsi yote, halafu tuanze upya. Kila anayetaka kuanzisha atoe maelezo ya kina kwann hataki kuchangamana na main churches.

Ni hayo tu.
Uko sahihi mkuu hao wote ni matapeli
 
Kama kweli ni waponyaji waingie hospital hivi mgonjwa ana cancer apone ashindwe kutoa pesa au ndugu zake kuwapa ila wanajua hakuto tokea uponyaji
 
Bora nyie wengine tumewekwa mkesha hapa mpaka muda huu alafu mbu kibao...😢😢😢
 
Hao waumini waendelee kupigwa konzi, kunywa maji machafu, kunyolewa hata nywele za makalio..si wameamua kuwa wajinga???

On a serious note, nakubali kuwa moderation ya nyumba za ibada kwa Tanzania ni muhimu, imekuwa too much. Serikali isimamie(if possible!), kuwe na vigezo vya mtu kuwa na kanisa, iwe elimu, mazingira, namna ya ibada (mode of worshipping).

Kwa sasa ukristo umekuwa kama ngoma za sindimba, tunaunajisi kupita kawaida, kwa jina la SHIDA zetu.
 
Yule Kiboko ya Wachawi nilipomsikiliza kwa mara ya kwanza( na ya mwisho) alikuwa anakaribisha watu wampigie simu wamueleze matatizo yao.

Halafu mama mmoja kampigia simu akasema,"Nina huzuni, binti yangu amekufa,tumemzika,sasa nina huzuni."
Kiboko ya Wachawi anamwambia,"Binti yako hajakufa. Binti yako ni msukule,analima shamba la mpunga Ifakara"
Halafu,wakati bado wanaongea katika simu,mama anasikia,"Hodi,hodi,mama nifungulie" . Binti amerudi.
So,I ask myself,"What is going on?"
 
Yule Kiboko ya Wachawi nilipomsikiliza kwa mara ya kwanza( na ya mwisho) alikuwa anakaribisha watu wampigie simu wamueleze matatizo yao.

Halafu mama mmoja kampigia simu akasema,"Nina huzuni, binti yangu amekufa,tumemzika,sasa nina huzuni."
Kiboko ya Wachawi anamwambia,"Binti yako hajakufa. Binti yako ni msukule,analima shamba la mpunga Ifakara"
Halafu,wakati bado wanaongea katika simu,mama anasikia,"Hodi,hodi,mama nifungulie" . Binti amerudi.
So,I ask myself,"What is going on?"
Duuuh!!
 
Mimi ni miongoni mwa watu wanaozichukia sana hizi huduma za watu binafsi za kidini. Kama kweli wana hizo nguvu za kuleta utajiri, kuondoa magonjwa n.k basi wote wakusanywe uwanja taifa waombee watanzania wote wawe matajiri na wapone magonjwa yanayowasumbua.

Suguye anakusanya kucha na nywele za utosini akidai anaziombea ili mtu akombolewe kiroho.

Mzee wa upako yeye anakusanya fedha kutoka kwa waumini kwa minajili ya kuwaombea (hao waumini) wapate utajiri.

Mwamposa amechimba kisima cha maji halafu anawauzia waumini maji hayo ambayo si salama, kwa madai kuwa yatawaponya.

Dr. Sule yeye anahubiri kuwa uislam na majini ni damu damu. Na anasema ukiwa ni muislam halafu aukayachukia majini basi wewe siyo muislam.

Wapo akina Masanja Mkandamizaji, Luka Tony, Sophia n.k ambao makanisa yao ni kama majukwaa ya unyago kwa namna yalovyojikita kuhubiri masuala ya mahusiano.

Swali: Huyu kiboko ya wachawi kafanya jambo gani ambalo serikali inaliona ni la ajabu sana kuliko hayo niliyoyaeleza hapo juu? Na je, serikali imeridhia utapeli wa hao wengine kuendelea kufanyika kwa watanzania?

Nimalizie kwa kusema kuiga siyo vibaya. Tuige kwa rais wa Rwanda aliyewafutia vibali watu 600 waliokuwa wakiendesha huduma za kiroho, na kisha kuweka vigezo vigumu kwa mtu kuanzisha kanisa binafsi.

Kama serikali iko serious iyafute makanisa binafsi yote, halafu tuanze upya. Kila anayetaka kuanzisha atoe maelezo ya kina kwann hataki kuchangamana na main churches.

Ni hayo tu.
Inategemea ushirikiano wako na chama tawala, kumbuka tukio la mauaji lililotokea Moshi kwenye uponyaji wa Mwamposa, jeshi la polisi lilijidai kwa mbwembwe kuwa walimkamata Himo akitoroka! Walimaliziana kimyakimya na jiwe bila kumchukulia hatua zozote, tulijiuliza jambo lile lingefanywa na Chadema tungekuwa tumekwisha wasahau.
 
Yule Kiboko ya Wachawi nilipomsikiliza kwa mara ya kwanza( na ya mwisho) alikuwa anakaribisha watu wampigie simu wamueleze matatizo yao.

Halafu mama mmoja kampigia simu akasema,"Nina huzuni, binti yangu amekufa,tumemzika,sasa nina huzuni."
Kiboko ya Wachawi anamwambia,"Binti yako hajakufa. Binti yako ni msukule,analima shamba la mpunga Ifakara"
Halafu,wakati bado wanaongea katika simu,mama anasikia,"Hodi,hodi,mama nifungulie" . Binti amerudi.
So,I ask myself,"What is going on?"
Haahahaaa kwakwel nmecheka sana, sjui watu akili zao zipoje hadi wana amini hizo wanazoziita shuhuda
 
Back
Top Bottom